Kuna Newcastle na Aston villa wasumbufu mno pamoja na wolvesAI kuwin legend ya epl Bila kufungwa hata mechi Moja kwangu imekua mtiti(natumia base team timu ndogo na sikopi kina gaucho wa mkopo)
NishaingiaNipate vya kulaliaππ
Upande wangu mimi πππbado nakaza vidole... Ila hizo draw nusu ilibid niwe nimeshindaWakuu njoeni tutete kwanza huko dvn kumekuwa kugumu kwa upande wangu, niseme tu wengi hawajui kucheza na hawataki kujifunza kucheza π, sina maana mbaya ila napata tabu kuwafunga wanaocheza kwa kubutua yaani wakati mimi nataka kuburudika kwa kucheza mpira mzuri na kupata ushindi wao wanaburudika kwa kupata ushindi tu mpira mzuri hawataki π.
Mechi 12 nimeshinda 2, sare 2, kufungwa 8, hizo sare 2 nilikutana na pira biriani wenzangu na hizo 2 za ushindi 1 nimekutana na pira biriani mwenzangu ila bahati haikuwa upande wake ila hiyo 1 sasa nikakutana na kanyaga twende namie nikasema kanyaga twende pia nauweza na bahati ikawa upande wangu ila kwa mbinde π, hizo nilizofungwa zote nimekutana na wasiojua kucheza.
Vuta picha unakutana na mtu anatumia possession game lakini ukienda uwanjani mwanzo mwisho ni ndege tu.
View attachment 3301146
Hii ndo hali yangu huko, nyie ambao mko dvn 1 na 2 nipeni mbinu ya kuwafunga hao jamaa.
Kaza kaka.Upande wangu mimi πππbado nakaza vidole... Ila hizo draw nusu ilibid niwe nimeshinda
View attachment 3303385
Shukrani kwa ujuzi, kesho turudie.Sema usiwe una press sana tumia zaidi match up opponents watakua wanapata 1vs1 nyingi na kipa. Kama unataka kupress vizuri tumia quick counter . Ukipress na long ball counter unaacha space kati kati
Kesho tutarudiaShukrani kwa ujuzi, kesho turudie.
Nakaza napanda game mbili tu hapo naingia div twoKaza kaka.
Me nikitaka kutumia press naweka defense mapema hapo napress bila wasiwasiSema usiwe una press sana tumia zaidi match up opponents watakua wanapata 1vs1 nyingi na kipa. Kama unataka kupress vizuri tumia quick counter . Ukipress na long ball counter unaacha space kati kati
Press inafaa quick counter sababu defensive line inakua juu. Ila LBC wanachelewa kupress inapelekea mashimo mengi. Ukicheza na good passer anasherehekeaMe nikitaka kutumia press naweka defense mapema hapo napress bila wasiwasi
Funny thing ni kwamba tupo equal in strength ππSelikavu nataka usiku tuguse, natumai umeongeza ujuzi wa kutosha na siyo zile ndege za mwanzo π.
View attachment 3303541
Mwamba ametambulishwa rasmi kuwa head coach wa timu yangu(Santos FC).
View attachment 3303542
Xabi Alonso amesema anataka kucheza mechi za kirafiki zisizopungua 5 na 3 kati ya hizo anataka kucheza na Selikavu (Alonso Day), mechi ya pili anataka kucheza na Edo kissy na mechi ya tatu anataka kucheza na NEGAN π.
Alonso Day ni kwaajili ya Selikavu π.
Kwa upande wangu nina tatizo la kutoa boko na nimeruhusu kufungwa sana kwa namna hii na tatizo lingine ni kwenye kutumia nafasi hasa nikikutana na mpinzani ambae yuko vizuri kwenye kuzuia.Napoteza chance kizembe mno.
Tatizo ambalo hata mimi ninaloπKwa upande wangu nina tatizo la kutoa boko na nimeruhusu kufungwa sana kwa namna hii na tatizo lingine ni kwenye kutumia nafasi hasa nikikutana na mpinzani ambae yuko vizuri kwenye kuzuia.