Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,422
- 27,315
😃😃Hakuna namna nikawatumia email wanibakishie kante kwanza😃😃Labda waongeze muda kidogo lakini. Baada ya siku 11 season mpya inaanza nadhani itakuwa Efootball 2026.
😃😃Hakuna namna nikawatumia email wanibakishie kante kwanza😃😃Labda waongeze muda kidogo lakini. Baada ya siku 11 season mpya inaanza nadhani itakuwa Efootball 2026.
Umepata epic yoyote hadi sasa?😃😃Hakuna namna nikawatumia email wanibakishie kante kwanza😃😃
Hapana kaka nipo tu na standard players wangu😃😃😃Umepata epic yoyote hadi sasa?
Konami wanajua kukera aisee, mie nikikumbuka ile account niliyokuwa naikuza imepata Jude halafu kwangu nikaletewa goroka 😂Hapana kaka nipo tu na standard players wangu😃😃😃
Nilikuwa na jamaa yangu mmoja hivi naye alikuwa hajapata nikawa najipa matumain... Mwenzangu jana wamempa Ronaldinho 😃😃😃na alikuwa na Kaka wa 104 na pia alipata Thuram wa inter mwenye Bullet header kile kipind cha free moja😃😃😃
😃😃😃Me watajua wenyewe kikubwa nijue game😃😃kikosi hakitomata kama nikiwa najua gameKonami wanajua kukera aisee, mie nikikumbuka ile account niliyokuwa naikuza imepata Jude halafu kwangu nikaletewa goroka 😂
Sasahivi nimerudi kutumia AMF Jude angenifaa sana yani 😂
Acha tuendelee kuburudika a standard cards, tumelipenda wenyewe 😂
Nimelimic ngoja nikirestore hii simu nitaweka maana uzi wa Dls naombwa Friendly na wadau alafu sinaIla DLS nikicheza kwenye simu ya jamaa yangu napata tabu sana, nimesahau kulicheza kiasi cha kusema sijui kulicheza 😂
Hata pasi 5 kwangu kufikisha ni kasheshe 😂
Limenishinda.Nimelimic ngoja nikirestore hii simu nitaweka maana uzi wa Dls naombwa Friendly na wadau alafu sina
Hahahaha ni rahisi sana kutoka dls kuja eFootball, lakini kutoka eFootball kwenda dls ni ngumu sanaLimenishinda.
Halafu vile wachezaji wanatembea bila kukunja goti mie hoi 😂
Kule nina wadau na nilikuwa na ufalme wangu nishafika tier one😃😃😃Limenishinda.
Halafu vile wachezaji wanatembea bila kukunja goti mie hoi 😂
Ni ngumu sana yani kule nikicheza ni kubutua tu pasi zisizoeleweka, halafu jamaa akicheza mwenyewe anapiga gonga safi kabisa 😂Hahahaha ni rahisi sana kutoka dls kuja eFootball, lakini kutoka eFootball kwenda dls ni ngumu sana
Hongera.Kule nina wadau na nilikuwa na ufalme wangu nishafika tier one😃😃😃
Sawaa mkuu tukipata tena time tutaendaMamb mengi ndugu nlizima data
Kule pasi mkadilio sio kama Efootball ukipiga pasi inaweza ikajipeleka yenyeweNi ngumu sana yani kule nikicheza ni kubutua tu pasi zisizoeleweka, halafu jamaa akicheza mwenyewe anapiga gonga safi kabisa 😂
Asante sana😃😃😃Hongera.
MZEE, SAIDI NI MGANGA, WA JADI, ANASAIDIA, UTAJIRI WA COINS, BAHATI WAKATI WA SPIN, BIASHARA, MASOMO CHEO, KAZINI KUMRUDISHA, MKE AU MUME PIGA 062483... ATAKUSAIDIAKonami till nashukuru kwa utapeli wenu🤣🤣🤣
View attachment 3411745
View attachment 3411746
View attachment 3411747
Sipigi tena penalty nipumzike sasa siku kumi wongo
Umemaliza Kila kitu😂🙌MZEE, SAIDI NI MGANGA, WA JADI, ANASAIDIA, UTAJIRI WA COINS, BAHATI WAKATI WA SPIN, BIASHARA, MASOMO CHEO, KAZINI KUMRUDISHA, MKE AU MUME PIGA 062483... ATAKUSAIDIA
KARIBU 666 FREEMASONRY UBADILISHE MAISHA YAKO MILIKI MALI KAMA COINS ZA KONAMI, BAHATI YA SPIN, MAJUMBA MAGARI NAMENGINE MENGI KUJIUNGA PG.0629...938/06...06764
Uache kupuuza hizo text, hilo gundu litaondoka 😂
🤣🤣🤣Ana lipa namba ya TTCL nimtumie hela anisaidie saiv😃😃MZEE, SAIDI NI MGANGA, WA JADI, ANASAIDIA, UTAJIRI WA COINS, BAHATI WAKATI WA SPIN, BIASHARA, MASOMO CHEO, KAZINI KUMRUDISHA, MKE AU MUME PIGA 062483... ATAKUSAIDIA
KARIBU 666 FREEMASONRY UBADILISHE MAISHA YAKO MILIKI MALI KAMA COINS ZA KONAMI, BAHATI YA SPIN, MAJUMBA MAGARI NAMENGINE MENGI KUJIUNGA PG.0629...938/06...06764
Uache kupuuza hizo text, hilo gundu litaondoka 😂