eFootball Special Thread

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Ety Kali balaaπŸ™ŒπŸ˜‚
 
Razorblade Ukiona sipo huku nshtue hata normal πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒkwa namba ya Tayana wog yako si unaitunza kama sukari yao🀣🀣🀣
 
Oya mbona umecheza QC badala ya LBC sasa?
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒWakati game inaanza ulitoa Qc ukaweka LBC

Sasa LBC kwa LBC long balls hazifanyi kazi maana backline inakuwa nyuma sana ndo maana ikabid nicheze pass fupi
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒWakati game inaanza ulitoa Qc ukaweka LBC

Sasa LBC kwa LBC long balls hazifanyi kazi maana backline inakuwa nyuma sana ndo maana ikabid nicheze pass fupi
Hamna LBC niliweka kabla hatujaingia uwanjani maana tayari ulisema tucheze LBC, settings nilienda kuzima smart assist.

Au wewe ulitaka utumie LBC mie nitumie QC?
 
Hamna LBC niliweka kabla hatujaingia uwanjani maana tayari ulisema tucheze LBC, settings nilienda kuzima smart assist.

Au wewe ulitaka utumie LBC mie nitumie QC?
Niliangalia tulivyoingia room ilikuwa Ni QC then ulivyopiga pause nikaangalia nikaona LBC nikasema hapa sawaπŸ˜ƒ


Lakin huu ndo mchezo wangu hata niweke possession game Qc ndo itachezwa πŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Kumbe ulizima smart assistπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Ndiyo niliweka LBC sasa nashangaa wewe unapiga vipasi vyako πŸ˜‚

Wakati nacheza event niliwasha πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…