eFootball Special Thread

Ukazan hii ni Efootball utaingia bila DMF na utashinda🤣🤣🤣
 
Mkuu huenda ningekomaa ningetoboa, kabla ya mtihani kichwa kilikuwa kinagonga balaa mpaka wakawa wanajitafutia panadol 😂

Matokeo yanakuja kutoka ni alama 3 tu ndo zimenipa sup, niliumia roho 😂
Pole sana me nilisup mwaka wangu wa mwisho chuo 🤣🤣🤣nilikata adi rufaa mzee kupinga🤣🤣lakin wap ni kama chuo kilisema dogo utasupua tu mwaka huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…