Watu wana mikwara dah๐Mr Balle anaombaga mara moja moja.... Ana hiyo message yake mzee sema nimeikosa... Anasema hakikisha umekula umeshiba, unatumia Voda, unajua game na mambo mengi kwel alafu anakuja kusema leta code๐๐๐View attachment 3368568
Kwani ile acc yako ya Japan kuingia huwa unatumia na VPN juu?Hapana kubadilisha hauwezi ndo moja kwa moja hiyo...
Na haiitaji VPN ๐๐sema ujue kubadilisha lugha chrome unavyologin kuunganisha na konami Id๐๐maana watakuletea kijapan
Unakiwasha balaa ๐ฅView attachment 3368596
Division pamenoga sikuizi sitaki friendly games ๐๐๐ฅ
Nilikuwa kwenye form leo na jana, tungekutana humo usingepona ๐Dah nimejaribu kucheza division leo kiwango changu kimeshuka sana
Ungeniua mkuu๐Nilikuwa kwenye form leo na jana, tungekutana humo usingepona ๐
Kaka, kila nikiingia kwenye kusachi mechi mi nipo div 2 ila naletewa watu wa div 3 mpaka raha najichapia tu ๐ sijui KONAMI wameamua kuniachia uhuruUnakiwasha balaa ๐ฅ
Unaitaka hiiDivision 1 nafika ila nataka niwe na rank nzuri mwisho wa phase
Bado nipo Na Alonso wangu possession game imeshanishinda๐๐๐nipo n Qc tu badoHaujabadilisha mfumo? ๐
Hii hapana ๐๐.. ila huwa natamani sana siku nikaze nipate ile badge ya top 100 au 1000 nitatisha sana mambanga ๐Unaitaka hiiView attachment 3368608
๐๐Huko Whatsapp kuna balaa Kuna jamaa anajiita Sure mreno anakuambia aje mtu ambaye hapause game mwanzo mwisho wala kubadilisha wapiga kona๐๐๐Watu wana mikwara dah๐
Mi sikuizi nikicheza friendly Possession ndo inanifaa ila kule efb league naona bila QC sitoboiBado nipo Na Alonso wangu possession game imeshanishinda๐๐๐nipo n Qc tu bado
Hapana hamna haja ya VPN sema nawakosa epic nataka nidownload Panda VPN Nikitaka kuspine nawasha๐๐Kwani ile acc yako ya Japan kuingia huwa unatumia na VPN juu?
Ni form tuu alafu bado wale wenye division one yao hawajalud kwao๐๐๐Dah nimejaribu kucheza division leo kiwango changu kimeshuka sana
Ulianzia Division 3๐Nilikuwa kwenye form leo na jana, tungekutana humo usingepona ๐
MMOJA MWENYEW MTANDAO MZURI ASIEBADIL WAPIGA KONA WALA KUSTOPISHA GAME ATUME CODE DM TWENDE FRIEND๐๐Huko Whatsapp kuna balaa Kuna jamaa anajiita Sure mreno anakuambia aje mtu ambaye hapause game mwanzo mwisho wala kubadilisha wapiga kona๐๐๐
Kwenye Region yetu nadhani Division bado hamjaenda wengi๐๐Kaka, kila nikiingia kwenye kusachi mechi mi nipo div 2 ila naletewa watu wa div 3 mpaka raha najichapia tu ๐ sijui KONAMI wameamua kuniachia uhuru
Kama ulifika Division one mmeanzia 3 wote๐๐Halafu wakuu imekuaje hii phase nimeanzia division 3 na sio division 4?
Ndio. Naona saivi kama ulishawahi kufika div 1 lazima uanzie div 3Ulianzia Division 3๐