Aina nomaKesho mkuu😂😂, nina sababu kibao nisijitetee sana
Uliweka zile settings ulizopewa kaka??Baada ya muda mrefu kwa kiasi nime-enjoy game tangu kuisha kwa maintanache mpaka muda huu, imebidi nimalize events zote yani ili likianza kusumbua nisipate tabu 😂
View attachment 3366346
View attachment 3366347
Hamna nilikuwa nazitafuta ila baada ya kuona game halizingui nikapotezea kwanza, mashabiki wanaongeza mzuka 😂Uliweka zile settings ulizopewa kaka??
Kumekucha!Cdg to nv
Huku Bado tume lalaKumekucha!
Upo single na unalala mpaka muda huu acha kuumiza mwili bila sababu za msingi 😂Huku Bado tume lala
Sasa uli taka raisi wa ma jobless pro max niende wapi 😂 😂Upo single na unalala mpaka muda huu acha kuumiza mwili bila sababu za msingi 😂
Amka na utazame series, ukiwa single kulala muda wote huo ni makosa kisheria 😂Sasa uli taka raisi wa ma jobless pro max niende wapi 😂 😂
Pc iko karibu, ila acha nilale kwanza, 😂Amka na utazame series, ukiwa single kulala muda wote huo ni makosa kisheria 😂
Tutapanda leo mkuu ,na mimi simu ilikua low sanaMkuu nlikuwa na burst simu.
Sio mashabiki tuu hata commentary hakuna😃Hamna nilikuwa nazitafuta ila baada ya kuona game halizingui nikapotezea kwanza, mashabiki wanaongeza mzuka 😂
Umeanza vitu vya maghayo kaka😃😃Cdg to nv
Me nipo na wewe kwenye hii match 😃😃🔥Tutapanda leo mkuu ,na mimi simu ilikua low sana
Unachezaje bila namba sitaKuna muda ubunifu huleta dhahama....Kuna huyu jamaa alitumia hii formation aiseh nilimnyoosha 5 first half... second half hakurudi tena
Nimembonda hadi aka quitUnachezaje bila namba sita