eFootball Special Thread

Selikavu ngoja nilale tutacheza siku nyingine. Ila huyu curtois umemlisha nini πŸ˜€ anasave kila kitu πŸ˜€
Aah nina kipa Ludovic nilimchukua juzi lakn simwamini kama Courtois πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ


Sema mkuu Nunez atakuja aniue saba peke ake siku mojaπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Aah nina kipa Ludovic nilimchukua juzi lakn simwamini kama Courtois πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ


Sema mkuu Nunez atakuja aniue saba peke ake siku mojaπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
nunez anakosa sana magoli ya wazi. Ila zile kaunta zako ndio maana nacheza mipira ya juu ukishika mpira hujiulizi mara 2πŸ˜€
 
nunez anakosa sana magoli ya wazi. Ila zile kaunta zako ndio maana nacheza mipira ya juu ukishika mpira hujiulizi mara 2πŸ˜€
Nilikuwa nashangaa mbona leo mpira wa tofauti kabisa unacheza πŸ˜ƒπŸ˜ƒ kumbe ilikuwa ni Anti Counter πŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Kuna mtu nimecheza nae leo mchana kaniambia nijifunze kukaa na maliπŸ˜ƒπŸ˜ƒnikacheka tuu

Na kidogo nimekuja kumuelewa Owen mchezo wake kwahiyo hapa saiv ni counter tuu
 
Ile ni anti counter sababu una press kwa fujo na ukiupata mpira pass 2 una shootπŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…