Hii season inayoanza kesho kutwa nataka nitafute badge ya division one kabisa ππhata ikiwa Rank ya millionHawa nitawanyoosha tu ngoja nipate tambo π
Ukiniona online tuma invite maana ukichelewa nataza events πTwende nitatumia kile kikosi kingine cha Selikavuπππ
Kawaida hiyo kuna muda unakuta anashuka chini kabisa kuchukua mpira.Owen wangu saiv nacheza nae kama SS week imekata akiwa bored Unakuta kalud zake huku mwanzoni kabisa kuchukua mpiraπππ
Sasa kule sijakuadd embu nitumie invite jina SelikavuUkiniona online tuma invite maana ukichelewa nataza events π
Kaza vidole πHii season inayoanza kesho kutwa nataka nitafute badge ya division one kabisa ππhata ikiwa Rank ya million
Nikiipata unajua kabisa atakayepata tabu wa kwanza ni weweππKaza vidole π
Sikutumii, siwezi add mtu mmoja mwenye account tofauti πSasa kule sijakuadd embu nitumie invite jina Selikavu
Son mishenyento πIncase you Wonder who is first guyView attachment 3363651View attachment 3363650
Sipati tabu aisee maana nishasema sichezi dvn kwa sasa.Nikiipata unajua kabisa atakayepata tabu wa kwanza ni weweππ
kumbe nilibadili kocha bhanaRazorblade Kikosi kule ni Hiki sasa kama na hiki kitakusumbuaππbadilisha tu simu mapema kwanza nacheza possession game sio mchezo wangu kabisaView attachment 3363654
Hujawahi nisumbua bhana ni simu yangu tu inakupa ushindi.Razorblade Kikosi kule ni Hiki sasa kama na hiki kitakusumbuaππbadilisha tu simu mapema kwanza nacheza possession game sio mchezo wangu kabisaView attachment 3363654
Vyovyote vile we husumbui.@Razorblade kumbe nilibadili kocha bhana View attachment 3363665
Roho mbaya tukicheza unanitoa simple tuuππSikutumii, siwezi add mtu mmoja mwenye account tofauti π
Unataka kujaza bure tu nafasi zangu za friends π
Acha tuu huyu jamaa konami sijui waliwaza niniSon mishenyento π
TutaonaππSipati tabu aisee maana nishasema sichezi dvn kwa sasa.
Code tu zinatosha πRoho mbaya tukicheza unanitoa simple tuuππ
Hata noob akijua kumtumia Son tu basi kwisha.Acha tuu huyu jamaa konami sijui waliwaza nini
Aah yamekuwa haya tenaHujawahi nisumbua bhana ni simu yangu tu inakupa ushindi.