eFootball Special Thread

Mkuu nimekupata ngoja nifanyie kazi hii kitu
 
Mkuu hapo naona wameweka uhitaji wa coin 100 na sina coin kwasasa....au ipoje?...
Kuna sehemu kwenye hao wachezaji karibu na coin wanakuwa wameandika Remaining one na kuendelea pita sehemu zote mpaka mwisho kabisa ukiona sehemu pameandikwa Remaining 1 au 2 na kuendelea bonyeza hapo hapo kuna mchezaji wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…