eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

1000147406.jpg
 
Leo baada ya muda mrefu hatimaye nimewasha full blue kwa jamaa nilikua nacheza nae game ya league...

Game kipa wangu ndo kawa man of the match nadhani mnaelewa my situation today😃😃😃

Mwamba ana etoo wa 104 hapo mbele ilikua ni kazi kumkaba

Eniwei nimeshinda game moja atleast japo nilikuwa sitarajii
Screenshot_20250609-020302.png
 
😃😃😃Unavyomchukia Lamine mzee 😃😃ndo kwanza ana miaka 17 mpk afike 30 sijui utakuwa wap🤣🤣
Huyo dogo simchukii mkuu ila wanampamba sana kama ilivyokuwa kwa Ansu Fati halafu nae anakamdomo flani hivi kadharau 😂

Ronaldo alivyoulizwa kuhusu Yamal, kawajibu “Muacheni mtoto akue”

Wasimjaze sana maana wanaweza muharibu kama Ansu.
 
Huyo dogo simchukii mkuu ila wanampamba sana kama ilivyokuwa kwa Ansu Fati halafu nae anakamdomo flani hivi kadharau 😂

Ronaldo alivyoulizwa kuhusu Yamal, kawajibu “Muacheni mtoto akue”

Wasimjaze sana maana wanaweza muharibu kama Ansu.
Ansu zilizidi asee😃😃
 
Back
Top Bottom