Aah pole mkuuMtandao kipindi cha kwanza jau sana
Nilikuwa natafuta comment ya master Razorblade akiwa ananielekeza game.... Niliscreenshot kwa matumizi ya baadae ila nimeikosa...Mzee wa kuchimbua makaburi π.. hiyo umeitoa wapi?
Mikwara tu ile π.. mlijaa nasoma mlivyokuwa mnachati pale mlikuwa mnamsaksia Negan kwangu, sema sikuziona eti ndo nazisoma leo.Nilikuwa natafuta comment ya master Razorblade akiwa ananielekeza game.... Niliscreenshot kwa matumizi ya baadae ila nimeikosa...
Razorblade kumbe master wangu alafu namuelekeza tenaπ€£π€£π€£mwanafunzi sina adabu
Master shifuu Razorblade umeniispire sana kucheza Efootball bila wewe ningekuwa sijuiπhatubishani tena kuhusu anchoring hapa na mimi nataka nikampe Bastoni maana master ni master tuu akifanya kitu igaView attachment 3359344
Negan ameanza kucheza game kitambo kabla yetuMikwara tu ile π.. mlijaa nasoma mlivyokuwa mnachati pale mlikuwa mnamsaksia Negan kwangu, sema sikuziona eti ndo nazisoma leo.
Wewe muda wowote ukiniona online njoo usearch πSasa kujituliza kwangu kunahusiana nini na kumpata Tony Adamsπππ
Unacheza event muda gani na mimi nije ni search muda huoπ€£π€£π€£View attachment 3359273
Naweza hata nikastaafu game lakini wewe bado ni mwanafunzi tu kwangu ndiyomaana nimekwambia cheza sana friend match walau ufikie robo ya ubora wangu πNilikuwa natafuta comment ya master Razorblade akiwa ananielekeza game.... Niliscreenshot kwa matumizi ya baadae ila nimeikosa...
Razorblade kumbe master wangu alafu namuelekeza tenaπ€£π€£π€£mwanafunzi sina adabu
Master shifuu Razorblade umeniispire sana kucheza Efootball bila wewe ningekuwa sijuiπhatubishani tena kuhusu anchoring hapa na mimi nataka nikampe Bastoni maana master ni master tuu akifanya kitu igaView attachment 3359344
Siku ukinikuta event nakufunga afu mwishoni naquitπ€£π€£π€£Wewe muda wowote ukiniona online njoo usearch π
Sawaa Shifuuuπ€£π€£π€£π€£ nitajitaid naomba siku nipate game na wewe nipate tena mawili matatu ya kunifanya niwe proπππnajua upo busy na wanafunzi wengi ila fanya kunikumbuka master i humbly submitNaweza hata nikastaafu game lakini wewe bado ni mwanafunzi tu kwangu ndiyomaana nimekwambia cheza sana friend match walau ufikie robo ya ubora wangu π
Batigoal ana balaa juzi online nimekutana na mtu anajua kumtumia Batigoal kanipiga hat trick 1st halfπ second half ikabidi nimuweke Rudiger a deal naeπHuko DLS wamepelekewa Batistuta (BatiGoal) bana, afu eti anauzwa kwa pesa za halali eti Laki na elfu 7, na game lenyewe lile ππ
View attachment 3359686BatiGoal ametrend sana hizi siku ππ₯
Nacheza events tu.Sawaa Shifuuuπ€£π€£π€£π€£ nitajitaid naomba siku nipate game na wewe nipate tena mawili matatu ya kunifanya niwe proπππnajua upo busy na wanafunzi wengi ila fanya kunikumbuka master i humbly submit View attachment 3359581
Wakati sisi hatukuona umihimu wake tukamchukua Owen mambio πHuko DLS wamepelekewa Batistuta (BatiGoal) bana, afu eti anauzwa kwa pesa za halali eti Laki na elfu 7, na game lenyewe lile ππ
View attachment 3359686BatiGoal ametrend sana hizi siku ππ₯
Ukikitana na mtu anaejua kumtumia vizuri huyo anakufunga hata akiwa haliangalii goli πBatigoal ana balaa juzi online nimekutana na mtu anajua kumtumia Batigoal kanipiga hat trick 1st halfπ second half ikabidi nimuweke Rudiger a deal naeπ
Jamaa alikua anatumia 3 touches tuπ. Touch ya kwanza anapokea mpira ya pili anageuka ya 3 anafungaπUkikitana na mtu anaejua kumtumia vizuri huyo anakufunga hata akiwa haliangalii goli π
Mbona alikuwa ni bure kabla sijahamia Efootball waliwaleta legends kazaa na Batistuta alikuwepoHuko DLS wamepelekewa Batistuta (BatiGoal) bana, afu eti anauzwa kwa pesa za halali eti Laki na elfu 7, na game lenyewe lile ππ
View attachment 3359686BatiGoal ametrend sana hizi siku ππ₯
Nokajua nateseka peke anguπππBatigoal ana balaa juzi online nimekutana na mtu anajua kumtumia Batigoal kanipiga hat trick 1st halfπ second half ikabidi nimuweke Rudiger a deal naeπ
Aah master sio vizur masterπππNacheza events tu.
Wakati sisi hatukuona umihimu wake tukamchukua Owen mambio π
Sasa wamemuona ana trend anauzwa sasa π brand lazima ipande beiMbona alikuwa ni bure kabla sijahamia Efootball waliwaleta legends kazaa na Batistuta alikuwepo