Wakuu hii card imekula coins zangu 500 mpaka kuipata na sijutii kama Selikavu π
Pia nimefatilia CB wenye skill ya Destroyer wengi wanaspeed ya kawaida kiasi kwamba ikipigwa mipira mirefu kama wamesogea juu inakuwa ngumu kukimbizana na mpinzani.
Nimeamua Tony Adams kumpa instruction ya Defensive.
Mkuu hivi mchezaji akiwa na skill ya defense mfano Kounde card niliyonayo ni defensive fullback, kuna haja ya kumpa instruction(individual) ya defensive?