Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Uvumilivu wako mdogo wewe utaitupa chini πUkikosa njoo uchukue yangu kaka nipe yakoππtuwe tunacheza
Na hao mabeki wenyewe wapo sambamba na kipa πAna bonge la ukuta mbele ya mabekiπ€£
πππ NitajikazaUvumilivu wako mdogo wewe utaitupa chini π
Unajua kuna wakati natoka nyuma vizuri ila nikifika karibu na eneo la mpinzani inaanza kuganda kuja kukaa sawa nishaporwa mpira ππππ Nitajikaza
Pole sana ππUnajua kuna wakati natoka nyuma vizuri ila nikifika karibu na eneo la mpinzani inaanza kuganda kuja kukaa sawa nishaporwa mpira π
Kumbe familia wote tunapenda kukabaππ€£.Mabeki wangu wanalindwa hapa penyewe nataka nianze kumchezesha Pedri kama CMF na sio AMF maana ni Box to Box ningempata na Sablozai mbele ya namba sita wangu Wanakaaa box to Box wawili mbele wapo na nyuma wapo....π€£π«΅
Hole player na creative playmakers kuwachezesha AMF kwenye timu yangu hapana aseee hawalud kukaba
Naludia napenda kukabaπππ
Defensive fullback wawiliπ peak Haram ballπNikipata defensive Fullbacks mbili Anchorman wawili... Mabeki wangu wa kati nikapata destroyer mmoja...
AMF wangu Box to Box...
Namba tisa wote wawili Goal Poacherππ«΅ wote hapa. Wanaanza kikosi cha kwanza itakuwa super team kwangu.... hapo nitakuwa nimekamilika aje yoyoteππππ formation 4222
πππMe nasema humu kila siku napenda kukabaπππKumbe wote tunapenda kukabaππ€£.
Mimi napenda kukaba kuliko kushambuliaπ. Mpinzani wangu akitoka na shot on target chini ya 3 najipongezaππππMe nasema humu kila siku napenda kukabaπππ
BAsi tuu bado sijui vizuri
Napenda hiyoππme bado nipo Analogy au old football maswala sijui ya inverted full back anakuwa middle hapanaDefensive fullback wawiliπ peak Haram ballπ
Kuna kafeeling fulan hivi huwa najiona mwambaππMimi napenda kukaba kuliko kushambuliaπ. Mpinzani wangu akitoka na shot on target chini ya 3 najipongezaπ
Wewe unajisahaulisha kuwa umeweka beki zako karibu na kipa πMill broh kaka simu imebakiza 5 hapa ngoja niweke chaji baadae tutaenda
ila kaka fanya Fanya basi upunguze hata DM mmoja nije mbele kwa uhuru π€£π€£View attachment 3348984
Kupanga ni kuchagua...πππWewe unajisahaulisha kuwa umeweka beki zako karibu na kipa π
Sijawahi jaribu possession π. Lakini kwenye possession ni ngumu kutengeneza nafasi sababu wachezaji hawakimbii mbele haraka kama quick counterNEGAN mkuu iv unaweza ukaweka possession Game alafu ukawa unatumia Counterπππ
Nimeona kama possession game ina kitu fulan hivi
Nimeona kama mabeki wanabakia kwenye shape tofauti na quick counter wanasogea mno through pass zikipigwa zinawapitaSijawahi jaribu possession π. Lakini kwenye possession ni ngumu kutengeneza nafasi sababu wachezaji hawakimbii mbele haraka kama quick counter