eFootball Special Thread

Ndo maana hata sijapost kuna siku nikikikufunga najua hapa simu yake bomu hakuna kitu anafanya😃


Kipind cha mpito how?? Unabadili tambo au unapotea mazima
Kipindi cha mpito namaanisha kile cha kupigika hovyo kila kona 😂

Oya hii simu siisemi vibaya kwa game mpaka dakika hii imenistiri ila ni changamoto, nilikuwa natamani kuforteit lakini hatujagusa muda nikaona bora tucheze tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…