Gilberto_
JF-Expert Member
- Aug 29, 2024
- 904
- 2,514
Naingia tena.. nilitokaNatumia simu 2 tofauti mkuu, halafu mie mbona sikuoni.
Naingia tena.. nilitokaNatumia simu 2 tofauti mkuu, halafu mie mbona sikuoni.
Naijua michezo yako unanipanga nijae kwenye mfumo sio😃😃Hamna huyo pro sasahivi 😂
Hapa naangalia naona uko offline, ngoja nifunge room nitumie wewe invite.Naingia tena.. mi niliona bado upo kwenye mechi
TWENZAO
Tuma invite.Naingia tena.. nilitoka
😃😃😃Kaka mitaa yako hujaacha mtoto kwel hapo 😃😃😃Sasa mbona hapo pa kawaida na Pana julikana, Kama uko karibu nenda mgahawa wa karibu na zahanati uchwara ulizia digidigi uta kula bure.
Box to Box mweke AMF mzee😃😃Haha nampiga Deep Line ili nikufunge vizuri kabisa 😂 beki zako zikifocus na huyo unakuwa umeuponza
Hamna we utaona nitakavyokula kipigo kutoka kwa Guilberto ndo utathibitisha kuwa mie nimekuwa noob 😂Naijua michezo yako unanipanga nijae kwenye mfumo sio😃😃
Napenda mademu wa kiarabu walioko mwanza, sio hao wana vyuo wa telegram 😂😂Hahaha kumbe wazawa wengi humu
Mtoto ume Anza kushika kende zangu aisee🤔😃😃😃Kaka mitaa yako hujaacha mtoto kwel hapo 😃😃😃
😃😃😃Wapo tabora hao mzee wamejaa kwel🤣Ukute wanawafata wahindi wa kisukuma 😂
Ila mbona kuna hadithi ulimsimulia comrade wako na ukasema huna mpango na mademu tena 😂Napenda mademu wa kiarabu walioko mwanza, sio hao wana vyuo wa telegram 😂😂
Igunga huko wapo tele 😂😃😃😃Wapo tabora hao mzee wamejaa kwel🤣
Wewe bila kumtaja comrade wangu huridhiki kabisa🤔😁Ila mbona kuna hadithi ulimsimulia comrade wako na ukasema huna mpango na mademu tena 😂
Hamna nilisoma tu ile hadithi ila ilikuwa kama series ya kikorea 😂Wewe bila kumtaja comrade wangu huridhiki kabisa🤔😁
😃😃😃Kaka na watoto wa kiarabuNapenda mademu wa kiarabu walioko mwanza, sio hao wana vyuo wa telegram 😂😂
Nimekua G 55 sasa MheshimiwaMtoto ume Anza kushika kende zangu aisee🤔
Comrade ni nani??😃😃😃Ila mbona kuna hadithi ulimsimulia comrade wako na ukasema huna mpango na mademu tena 😂
It's a true story about me 😂😁Hamna nilisoma tu ile hadithi ila ilikuwa kama series ya kikorea 😂
Siku twende tanga, tabora na singida kuzurura tu mwanangu😁😂😃😃😃Wapo tabora hao mzee wamejaa kwel🤣