eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Hilo nimeligundua usiku wa manane mkuu, Selikavu sitaki tena derby na wewe 😂
Mi leo nimejaa kwenye mfumo wake 😂

1000054137.jpg


Mechi 2 sijaambulia kitu, leo beki zake zimekuwa ngumu mno kuzifungua kwa upande wangu. Nimewon kila kitu kasoro magoli😄
1000054205.jpg
 
Leo ndiyo kwanza Ijumaa halafu nisubiri mpaka J'5 ndo nifanye selection ya mchezaji, hii haikubaliki bhana liwalo na liwe tu 😂

Selikavu niandalie post ya Fabrizio Romano mchezaji atatangazwa leo saa 4 usiku 😂
 
Mi leo nimejaa kwenye mfumo wake 😂

View attachment 3343144

Mechi 2 sijaambulia kitu, leo beki zake zimekuwa ngumu mno kuzifungua kwa upande wangu. Nimewon kila kitu kasoro magoli😄 View attachment 3343145
Mkuu huyo beki zake kaziweka karibu sana na kipa kama unasubiri mpaka usogee karibu ndo upige anakuwahi mapema, naweza fika ndani ya box lake hata mara 10 lakini kupiga sasa unakuta kashawahi na kupiga mashuti nje ya box bado najifunza 😂
 
Mkuu huyo beki zake kaziweka karibu sana na kipa kama unasubiri mpaka usogee karibu ndo upige anakuwahi mapema, naweza fika ndani ya box lake hata mara 10 lakini kupiga sasa unakuta kashawahi na kupiga mashuti nje ya box bado najifunza 😂
We si umesema hutaki magoli hayo😃😃😃
 
Kuna namna selikavu anakokota mpira 🙌 na jinsi anavyo time press mchezaji anayepokea pass. Pia jinsi anavyoziba nafasi🙌. Anaelekea kuwa pro kilichobaki ni kupata squad kamili.
Mbona naona kwenye dribble bado kabisa 😃😃😃

Maana napoteza mno mali
 
Back
Top Bottom