eFootball Special Thread

Utaniletea mifumo mingapi sasa itakayokusumbua maana huu mfumo wa pili sasa unaniletea ๐Ÿ˜‚

Mfumo wowote ule inategemea na mtumiaji pamoja na aina ya wachezaji utakaowatumia kwemye huo mfumo.
Me mchezo wako naujua๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒunakufaa sana huu...

We jaribu there is no harm in trying๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Huyu jamaa leo nilikuwa naenda nae vizuri sana ila kilichonishinda ni akipiga kona au krosi basi nahesabu goli.

Katika goli 7 alizoshinda mechi ya kwanza goli 4 zote ni kona na krosi, katika goli 5 za mechi ya pili goli 3 ni kona na krosi mpaka ikabidi nimuulize aisee maana hii zahma sasa ๐Ÿ˜‚


Huyu mwalimu anafundisha kwa vitendo na hiyo formation amenipa yeye ๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ