Razorblade JF-Expert Member Joined Aug 30, 2019 Posts 5,152 Reaction score 10,393 May 16, 2025 #3,041 Selikavu said: Team ya Guilberto na Batistuta wake ππ(jokes) Barcelona, city Click to expand... Mkuu hivi kwa mpira wa city na hao barca unaweza sema ile ni possession lakini mie nakataa maana ile speed ya kushambulia ni kisanga π
Selikavu said: Team ya Guilberto na Batistuta wake ππ(jokes) Barcelona, city Click to expand... Mkuu hivi kwa mpira wa city na hao barca unaweza sema ile ni possession lakini mie nakataa maana ile speed ya kushambulia ni kisanga π
Gilberto_ JF-Expert Member Joined Aug 29, 2024 Posts 904 Reaction score 2,514 May 16, 2025 #3,042 Selikavu said: Me possession game kuna kitu ambacho ni tofauti na mifumo mingine nimekiona siku hizi ngapi ninapocheza na watu wengine... Me alonso ana Possession game 88 na Quick counter 88 kwahiyo nashift tu huku ama hukuπ Click to expand... Kwa mi naona Utofauti unakuja kwenye kutengeneza mashambulizi..
Selikavu said: Me possession game kuna kitu ambacho ni tofauti na mifumo mingine nimekiona siku hizi ngapi ninapocheza na watu wengine... Me alonso ana Possession game 88 na Quick counter 88 kwahiyo nashift tu huku ama hukuπ Click to expand... Kwa mi naona Utofauti unakuja kwenye kutengeneza mashambulizi..
Razorblade JF-Expert Member Joined Aug 30, 2019 Posts 5,152 Reaction score 10,393 May 16, 2025 #3,043 Guilberto said: Si inakuwa umejaa kwenye mfumo π Click to expand... Kwishaa π
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 12,413 Reaction score 27,291 May 16, 2025 #3,044 Guilberto said: Bastituta finishing yake ππ₯ Click to expand... Umezidi kunishawishi kumchukua
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 12,413 Reaction score 27,291 May 16, 2025 #3,045 Razorblade said: Hiyo siyo guarantee kwamba ndo itakuwa hivyo, nikipoteza au ukipoteza zote 3 je? π Click to expand... Game zetu ilishakua kama simba na yanga unashangaa tu umefungwa au umeshindaππ
Razorblade said: Hiyo siyo guarantee kwamba ndo itakuwa hivyo, nikipoteza au ukipoteza zote 3 je? π Click to expand... Game zetu ilishakua kama simba na yanga unashangaa tu umefungwa au umeshindaππ
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 12,413 Reaction score 27,291 May 16, 2025 #3,046 Razorblade said: Mkuu hivi kwa mpira wa city na hao barca unaweza sema ile ni possession lakini mie nakataa maana ile speed ya kushambulia ni kisanga π Click to expand... Possession game ile kaka umiliki mpira muda mwingi suka goli
Razorblade said: Mkuu hivi kwa mpira wa city na hao barca unaweza sema ile ni possession lakini mie nakataa maana ile speed ya kushambulia ni kisanga π Click to expand... Possession game ile kaka umiliki mpira muda mwingi suka goli
Razorblade JF-Expert Member Joined Aug 30, 2019 Posts 5,152 Reaction score 10,393 May 16, 2025 #3,047 Selikavu said: Umezidi kunishawishi kumchukua Click to expand... Mkuu yule mjapani naona wanamsifia.
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 12,413 Reaction score 27,291 May 16, 2025 #3,048 Guilberto said: Kwa mi naona Utofauti unakuja kwenye kutengeneza mashambulizi.. Click to expand... Na kukazuia mipira ni kama wachezaji wanakuwa na sumaku mzeeπππ
Guilberto said: Kwa mi naona Utofauti unakuja kwenye kutengeneza mashambulizi.. Click to expand... Na kukazuia mipira ni kama wachezaji wanakuwa na sumaku mzeeπππ
Razorblade JF-Expert Member Joined Aug 30, 2019 Posts 5,152 Reaction score 10,393 May 16, 2025 #3,049 Selikavu said: Possession game ile kaka umiliki mpira muda mwingi suka goli Click to expand... Nitamiliki mpira kwa QC hiyo Possession siiwezi.
Selikavu said: Possession game ile kaka umiliki mpira muda mwingi suka goli Click to expand... Nitamiliki mpira kwa QC hiyo Possession siiwezi.
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 12,413 Reaction score 27,291 May 16, 2025 #3,050 Razorblade said: Mkuu yule mjapani naona wanamsifia. Click to expand... Nimekutana na clip wanamcompare na Wesley Sneijder
Razorblade said: Mkuu yule mjapani naona wanamsifia. Click to expand... Nimekutana na clip wanamcompare na Wesley Sneijder
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 12,413 Reaction score 27,291 May 16, 2025 #3,051 Razorblade said: Nitamiliki mpira kwa QC hiyo Possession siiwezi. Click to expand... Hakuna shida ππ
Razorblade said: Nitamiliki mpira kwa QC hiyo Possession siiwezi. Click to expand... Hakuna shida ππ
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 12,413 Reaction score 27,291 May 16, 2025 #3,052 Guilberto naona upo friend match
Razorblade JF-Expert Member Joined Aug 30, 2019 Posts 5,152 Reaction score 10,393 May 16, 2025 #3,053 Selikavu said: Nimekutana na clip wanamcompare na Wesley Sneijder Click to expand... Sasa tamanishwa na Batistuta uache mtu wa maana π
Selikavu said: Nimekutana na clip wanamcompare na Wesley Sneijder Click to expand... Sasa tamanishwa na Batistuta uache mtu wa maana π
Meta AI JF-Expert Member Joined Jul 12, 2021 Posts 1,564 Reaction score 4,018 May 16, 2025 #3,054 Nipate mdau online tuchuane
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 12,413 Reaction score 27,291 May 16, 2025 #3,055 Razorblade said: Sasa tamanishwa na Batistuta uache mtu wa maana π Click to expand... Hapana kwa sasa nacheza na Attacking wawili ambao ni beckham na Pedri... Naona hapana shida pale sana pia sub ni pale mbele Kane mchezo wangu umemkataa... Anacheza mechi zako sana kwa sababu ya Tony adams ana nguvu mno mbappe hatoboi πππ Kwahiyo nitaona niimarishe wap mwisho wa siku
Razorblade said: Sasa tamanishwa na Batistuta uache mtu wa maana π Click to expand... Hapana kwa sasa nacheza na Attacking wawili ambao ni beckham na Pedri... Naona hapana shida pale sana pia sub ni pale mbele Kane mchezo wangu umemkataa... Anacheza mechi zako sana kwa sababu ya Tony adams ana nguvu mno mbappe hatoboi πππ Kwahiyo nitaona niimarishe wap mwisho wa siku
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 12,413 Reaction score 27,291 May 16, 2025 #3,056 Hamumu said: Nipate mdau online tuchuane Click to expand... Binafsi nina mtu naingia kugusa nae sio muda nikimalizana nane tutaenda... Weka Id yako watu tukuadd mzee
Hamumu said: Nipate mdau online tuchuane Click to expand... Binafsi nina mtu naingia kugusa nae sio muda nikimalizana nane tutaenda... Weka Id yako watu tukuadd mzee
Mill broh JF-Expert Member Joined Jul 30, 2023 Posts 346 Reaction score 816 May 16, 2025 #3,057 Hamumu said: Nipate mdau online tuchuane Click to expand... Weka user name
NEGAN JF-Expert Member Joined May 12, 2023 Posts 1,764 Reaction score 4,272 May 16, 2025 #3,058 Selikavu said: Ndo maana bora nichukue Batistuta nikimuacha huyo basi nakata Click to expand... Chukua right back mkuu yule. Kupata right back epic ni kazi tena yule ana edge cross
Selikavu said: Ndo maana bora nichukue Batistuta nikimuacha huyo basi nakata Click to expand... Chukua right back mkuu yule. Kupata right back epic ni kazi tena yule ana edge cross
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 12,413 Reaction score 27,291 May 16, 2025 #3,059 NEGAN said: Chukua right back mkuu yule. Kupata right back epic ni kazi tena yupe ana edge cross Click to expand... Duuh mnazidi kukiwasha kichwa motoπππ Siku ya selection nitaumiza sana kichwa
NEGAN said: Chukua right back mkuu yule. Kupata right back epic ni kazi tena yupe ana edge cross Click to expand... Duuh mnazidi kukiwasha kichwa motoπππ Siku ya selection nitaumiza sana kichwa
NEGAN JF-Expert Member Joined May 12, 2023 Posts 1,764 Reaction score 4,272 May 16, 2025 #3,060 Wakuu naombeni friend match nitest formation yangu mpya ya beki uchochoro