eFootball Special Thread

Me possession game kuna kitu ambacho ni tofauti na mifumo mingine nimekiona siku hizi ngapi ninapocheza na watu wengine...


Me alonso ana Possession game 88 na Quick counter 88 kwahiyo nashift tu huku ama hukuπŸ˜ƒ
Kwa mi naona Utofauti unakuja kwenye kutengeneza mashambulizi..
 
Sasa tamanishwa na Batistuta uache mtu wa maana πŸ˜‚
Hapana kwa sasa nacheza na Attacking wawili ambao ni beckham na Pedri... Naona hapana shida pale sana pia sub ni pale mbele Kane mchezo wangu umemkataa... Anacheza mechi zako sana kwa sababu ya Tony adams ana nguvu mno mbappe hatoboi πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Kwahiyo nitaona niimarishe wap mwisho wa siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…