eFootball Special Thread

Mie natapatapa tu sasahivi mpaka nikae sawa nishapigika sana πŸ˜‚
Huu me nakussuport utashika vizuri kwa sababu upp balanced unakupa watu wengi kushambulia na pia katikati wapo..

Pia huu haujapishana sana na 4-3-1-2 kwa hiyo hautokusumbua sana... Hapo ni kutafuta mbdala wa Messi tuu
 
Mna ushawishi hadi naanza ku question choice yangu ya OwenπŸ˜ƒ
πŸ˜‚πŸ˜‚ hamna kaka we nenda na chaguo lako tu.. mana huyo Bastituta kanyimwa mwendo, Owen kama kipanga akipata mpira

Nimechezesha pacha ya David Villa na Owen niliipenda bure nilienda game 9 straight division matches pale bila lose wala sare.
 
Dah ngoja tuone kama tutaambulia chochote kwenye selection πŸ˜ƒ
 
Aisee kweli nimemjaribu drogba wa my league jamaa ni mzito kinoma alafu naambiwa anafanana na Batistuta.

Mpaka sahizi sijapata uchaguzi bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…