eFootball Special Thread

Oya wakuu leo nimekuwa na bahati mno, nina acc mbili nimeingia mchana kucheza events nikaspin nikampata Owen ๐Ÿ˜„ hapo hapo nikaswitch kwenye acc nyingine kaupepo kasiishe ๐Ÿคฃ nikaenda kucheza events spin 2 nikampata Bastituta daah hapa sina kesi nao tena
 

Attachments

  • eFootballโ„ข_2025-05-11-13-36-13.jpg
    1.2 MB · Views: 6
  • Screenshot_20250511_130353.jpg
    1.2 MB · Views: 4
Ngoja tuone ila ukitaka kutumia dmf mmoja inafaa Anchorman au orchestrator. Box to box anazurura sana kuna shimo hapo kati kubwa๐Ÿ˜ƒ kumbuka hao LMF na RMF wanapanda wanamuacha Amrabat peke yake na
Mkuu kwenye kuchezesha DMF mmoja orchestrator ndo hovyo kabisa.

Mtu anaetumia possession game akiwa na DMF orchestrator haitakuwa na shida ila kwa QC na LBC B2B au anchorman ndo wanafaa.

Napenda kutumia B2B sababu anapanda na kushuka kwa wakati bila kuchoka.

Mechi kadhaa nilizocheza na Selikavu alimuona Amrabat juu nikiwa nashambulia na chini akiwa ananishambulia.
 
Mzee wa box to box๐Ÿ˜ƒ najuta kumchua Kolo Muani kila siku ana D form๐Ÿ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ