eFootball Special Thread

Hakuna magoli mengi hapo mkuu, uzuri wa huu mfumo unakuwa na idadi kubwa kuzuia na idadi kubwa kushambulia.

Nilichofanya hapo ni kumsogeza AMF kwenye eneo la SS.
Ngoja tuone ila ukitaka kutumia dmf mmoja inafaa Anchorman au orchestrator. Box to box anazurura sana kuna shimo hapo kati kubwa๐Ÿ˜ƒ kumbuka hao LMF na RMF wanapanda wanamuacha Amrabat peke yake na
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ