eFootball Special Thread

Hili la kipa unalaamika kila sikuπŸ˜ƒπŸ˜ƒ through zako umeziona leo nimepiga ngap pale umeludisha mwenyewe kwa kipaπŸ˜ƒπŸ˜ƒsasa mimi kila siku napambana nazo kutoka kwakoπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Ila kipa wako kazidi πŸ˜‚.
 
Mikasa ya hapa na pale imenikuta asubuhi hii ila hatimae nimetoa gundu la dvn 3.

Konami wakaniletea hiki kiumbe kwenye mechi ya mwisho.
πŸ‘‡


Nilikuwa sielewi naanzaje kupata ushindi ila kufika dakika ya 70+ kijana mdogo akapiga outside curl mpaka nikashituka maana mechi ya maamuzi halafu unapiga goli tamu la nje ya box.
πŸ‘‡


Akafanya dakika 90 kukamilika kwa ushindi muhimu wa goli 0-1.
πŸ‘‡


Ushindi uliofanya kufikisha alama zinazohitajika ili kufika dvn 2.
πŸ‘‡


Na hatimae nikatangazwa kuwa ni miongoni mwa wanafamilia wa dvn 2.
πŸ‘‡


Ila huyu jamaa amejua kuwanyoosha nahisi waliyekutana na mimi nikicheza harram football wanasimulia ubaya wake πŸ˜‚.
πŸ‘‡


Ahsante harram football πŸ˜‚.

Jini katoka ila mganga yuko ICU πŸ˜‚.
 
Namna hiyo idumu haram football idumu. πŸ˜ƒ
 
Hongera kaka nitafute sasa badge ya division 1πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…