eFootball Special Thread

Hili la kipa unalaamika kila siku😃😃 through zako umeziona leo nimepiga ngap pale umeludisha mwenyewe kwa kipa😃😃sasa mimi kila siku napambana nazo kutoka kwako😃😃
Ila kipa wako kazidi 😂.
 
Mikasa ya hapa na pale imenikuta asubuhi hii ila hatimae nimetoa gundu la dvn 3.

Konami wakaniletea hiki kiumbe kwenye mechi ya mwisho.
👇


Nilikuwa sielewi naanzaje kupata ushindi ila kufika dakika ya 70+ kijana mdogo akapiga outside curl mpaka nikashituka maana mechi ya maamuzi halafu unapiga goli tamu la nje ya box.
👇


Akafanya dakika 90 kukamilika kwa ushindi muhimu wa goli 0-1.
👇


Ushindi uliofanya kufikisha alama zinazohitajika ili kufika dvn 2.
👇


Na hatimae nikatangazwa kuwa ni miongoni mwa wanafamilia wa dvn 2.
👇


Ila huyu jamaa amejua kuwanyoosha nahisi waliyekutana na mimi nikicheza harram football wanasimulia ubaya wake 😂.
👇


Ahsante harram football 😂.

Jini katoka ila mganga yuko ICU 😂.
 
Namna hiyo idumu haram football idumu. 😃
 
Hongera kaka nitafute sasa badge ya division 1😃😃😃
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…