eFootball Special Thread

Amenionea sana huyu jamaa๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒleo nikasema hatoki
Umejua kuzuia njia mkuu hukua na utani ukipokonya mpira cha kwanza ni clear halafu match up ukilitazama goli tu ni shoot.

Ila back pass zako kwa kipa zinakera sana ๐Ÿ˜‚.
 
LBC imenichoma sana leo, mechi nilizotumia LBC zote nimefungwa.

Mechi niliyotumia QC na kufungwa ni hiyo ya 3-1.

Hii LBC inabidi niifanyie kazi ya ziada.

Pia hujanifunga kwa sababu ya smart assist, huo ni uwezo wako mkuu.

Hongera kwa ushindi.
 
Mr Devil umepigwa hamsa mkuu๐Ÿ˜ƒ
๐Ÿ˜‚asee mwamba ana teleza tu kila napo peleka pass yupo .afu niki angalia kikosi chake na anavyo cheza nikawa sielewi
4-3-1-2 ina kaudhaifu kwenye kufanya transition na ndo Allianza nayo ๐Ÿ˜ƒ
Nili badili nikarudi 4-3-3 kidogo match ikatulia ,nimejaribu kutumia iyo smart assist leo ila sija ielewa inavyo fanya kazi
 
Umejua kuzuia njia mkuu hukua na utani ukipokonya mpira cha kwanza ni clear halafu match up ukilitazama goli tu ni shoot.

Ila back pass zako kwa kipa zinakera sana ๐Ÿ˜‚.
Haraam football ilikuwa to the climax leo...
Nilikuwa naenjoy kukaba leo ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ

Kaa na mpira nakuongojea uje nikikaba tu counter ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
LBC imenichoma sana leo, mechi nilizotumia LBC zote nimefungwa.

Mechi niliyotumia QC na kufungwa ni hiyo ya 3-1.

Hii LBC inabidi niifanyie kazi ya ziada.

Pia hujanifunga kwa sababu ya smart assist, huo ni uwezo wako mkuu.

Hongera kwa ushindi.
Asante kaka๐Ÿ™


Mchezo wangu unaujua tumecheza mechi nyingi sana...

Leo nimecheza na wewe comfortable kabisa sababu ya smart assist


Sema unaenda offline tuu next games ningecheza nikiwa nimezima uone...

Nasema kila siku weakness ni kwenye direction ya pasi na upokeaji wa mipira na kukadilia pass weakness ambazo smart assist kwangu inazitibu๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
๐Ÿ˜‚asee mwamba ana teleza tu kila napo peleka pass yupo .afu niki angalia kikosi chake na anavyo cheza nikawa sielewi

Nili badili nikarudi 4-3-3 kidogo match ikatulia ,nimejaribu kutumia iyo smart assist leo ila sija ielewa inavyo fanya kazi
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒUnacheza na striker mmoja lazima uone haina manufaa.. ila ukiwa na striker wawili ukipiga through huku nyuma ni pasi mbili tu goli๐Ÿ˜ƒ
 
Niliona hicho kitu๐Ÿ˜ƒsema nimekosa sana 1v1
Umenizuia sana leo kupiga nikiwa ndani ya box ndiyomaana hata shots kwangu zimekuwa chache, umenisoma vyema kwamba nikiingia ndani ya box ndo huwa napiga ๐Ÿ˜‚.

Hongera kwa mara nyingine ๐Ÿ˜‚.
 
Haraam football ilikuwa to the climax leo...
Nilikuwa naenjoy kukaba leo ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ

Kaa na mpira nakuongojea uje nikikaba tu counter ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Umenizibia njia mpaka nilikuwa nasema huku nacheka โ€œhuyu jamaa leo kanikamiaโ€
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kuna namna nataka nifanye hapa ili niendelee kuwa online tuwe tunagusa, huo mpira uliocheza leo huwa nahangaika sana kupata matokeo nikikutana na mpira wa hivyo.
 
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒUnacheza na striker mmoja lazima uone haina manufaa.. ila ukiwa na striker wawili ukipiga through huku nyuma ni pasi mbili tu goli๐Ÿ˜ƒ
Mchezaji anayeongoza kwa kupiga pasi kwenye timu yako ni kipa ๐Ÿ˜‚.
 
Umenizuia sana leo kupiga nikiwa ndani ya box ndiyomaana hata shots kwangu zimekuwa chache, umenisoma vyema kwamba nikiingia ndani ya box ndo huwa napiga ๐Ÿ˜‚.

Hongera kwa mara nyingine ๐Ÿ˜‚.
Asante sana๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ leo nilikupania umenionea mno๐Ÿ˜‚
 
Mchezaji anayeongoza kwa kupiga pasi kwenye timu yako ni kipa ๐Ÿ˜‚.
Hili la kipa unalaamika kila siku๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ through zako umeziona leo nimepiga ngap pale umeludisha mwenyewe kwa kipa๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒsasa mimi kila siku napambana nazo kutoka kwako๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ