eFootball Special Thread

Matokeo bila picha ni uzushi πŸ˜‚.
Okay kauli mbiu ni matokeo bila picha ni UzushiπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Siku ya jana nilianza na Mr Devil

Tokeo ni kama hili hapa

Leo nikacheza na Master of Haram Football... NEGAN
Usipocheza Haram Football hapa hutoboiπŸ˜ƒπŸ˜ƒmaana hata magoli yenyewe nimefunga ya papatu papatu


Baadae nikaja kwenye mtani wangu wa siku zote wewe hapo
Kijana wa Gasperini mwenyewe

Nilisema mchezo wangu na wako smart assist ndo inanifanya kila siku nastruggle leo nikawasha and nilikuwa nangojea moment hiiπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Hii match imekuuma mnoπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒila ndo hvyo kaka pole

Nyingine hizi hapa




Ila ukwel game zako leo tumesumbuana hata kama nimeshinda nimehangaika sana na Drogba wako

Eniwei sijalipa kisasi bado unaongoza ulishanipiga sita hicho siwezi kulipaπŸ™ŒπŸ”₯

Nilud sasa kucheza kawaida niachane na smart assist
 
Duh umembutua πŸ˜ƒ
 
Umejua kuninyoosha leo πŸ˜‚.
Game ya mwisho ulipoa kabisa nikaona hata mchezo wako unawaza tu game iishe... Nikasema leo atakimbia huyu... Nalud nakuta Umeshabonyeza ready isingekuwa chaji leo tungecheza mpk saa moja umekataa kabisa kama nimekuzidi leo,πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
We acha tu mkuu πŸ˜‚, anaziba njia mkuu sijui kajifunzia wapi, anapiga mashuti balaa πŸ˜‚.

Ataleta tu matokeo hapa huyu mpinzani wangu furaha yake ni kunifunga na leo kafanikiwa, sijui analala anacheza game huyu πŸ˜‚.
Nilisema 4312 kuna kitu inaninyima

Hapa nakomaa na hii 4222 mpk ikaeπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Game ya mwisho ulipoa kabisa nikaona hata mchezo wako unawaza tu game iishe... Nikasema leo atakimbia huyu... Nalud nakuta Umeshabonyeza ready isingekuwa chaji leo tungecheza mpk saa moja umekataa kabisa kama nimekuzidi leo,πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Kuna muda nilikuwa nikitoa boko tu basi sikabi tena nahisi ulikuwa hujaotea maana ingekuwa faida sana kwako πŸ˜‚.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…