eFootball Special Thread

Hamna kuna namna unacheza na mimi ninavyokaba vinakinzana tactic yangu haitanyi kazi kwako.
 
Amekupiga? 😃
We acha tu mkuu 😂, anaziba njia mkuu sijui kajifunzia wapi, anapiga mashuti balaa 😂.

Ataleta tu matokeo hapa huyu mpinzani wangu furaha yake ni kunifunga na leo kafanikiwa, sijui analala anacheza game huyu 😂.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…