eFootball Special Thread

Nimekutana na vipigo asubuhi hii nimeshuka mpaka 1390, natamani nivute siku kadhaa ndo nirudi kucheza dvn tena.
 
Nimekutana na vipigo asubuhi hii nimeshuka mpaka 1390, natamani nivute siku kadhaa ndo nirudi kucheza dvn tena.
Jaribu pure haram ball 523 ya 2 CF na 1 SS. Halafu beki ziwe attacking full back zinapiga cross kwa Drogba mwanzo mwisho. Yani ukiupata mpira clear kwa Drogba then Drogba ata win header halafu pass 2 hadi 3 cross kwa Drogba .
 
Jaribu pure haram ball 523 ya 2 CF na 1 SS. Halafu beki ziwe attacking full back zinapiga cross kwa Drogba mwanzo mwisho. Yani ukiupata mpira clear kwa Drogba then Drogba ata win header halafu pass 2 hadi 3 cross kwa Drogba .
Ngoja niruke nayo hii.
 
Jaribu pure haram ball 523 ya 2 CF na 1 SS. Halafu beki ziwe attacking full back zinapiga cross kwa Drogba mwanzo mwisho. Yani ukiupata mpira clear kwa Drogba then Drogba ata win header halafu pass 2 hadi 3 cross kwa Drogba .
Hawezi haram Football huyo😃😃
 
Hivi inawezekana kumpatia mtu account bila kumpa password?
NEGAN
Haiwezekani ili account uimiliki llni lazima uwe na email na password.

Ili uweze kufanya data transfer ucheze game kwenye simu yako hatua ni hizi


Ili u access KONAMI ID lazima uwe na email na password ukisha log in unabadili unaweka email yako.

Kiufupi haiwezekani kutumia account ya mtu bila password ya email
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…