Ee Mungu Baba Wasamehe maana hawajui watendalo! japo sasa wako moto sana! baada ya uchaguzi, sio kwisha habari yao?Sio watalia sana na kusaga meno?

Ee Mungu Baba Wasamehe maana hawajui watendalo! japo sasa wako moto sana! baada ya uchaguzi, sio kwisha habari yao?Sio watalia sana na kusaga meno?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
57,103
Reaction score
128,718
Wanabodi

Leo ni siku ya Jumapili,najitahidi siku za Jumapili,niwe naleta mada za holistic approach

Huu ni uzi wa swali tuu, nimeona jinsi washabiki wa NRNE walivyo chachamaa kwenye mitandao ya kijamii,utadhani wametiwa ndimu!,mtu yoyote ukiposti chochote,wanakuja na NRNE sio tuu za kutosha,bali za kukera!

Ninachoweza kufanya kwa sasa, ni kuwaombea tuu kwa Mungu,awasamehe ”Ee Mungu Baba,Wasamehe!,Kwa Maana Hawajui Watendalo!”

Japo kwa sasa wako moto sana,utadhani wametiwa ndimu, lakini baada ya uchaguzi,kama ni kweli Chadema haitashiriki uchaguzi huu,itakuwa ni imejiua kabisa,kwisha habari yake!。

Can you imagine Chadema 2025 -2030 watakuwa wanafanya nini?!。 Sio wataishia kulia sana na kusaga meno kwa miaka 5 bila diwani,bila mbunge na bila ruzuku?Will they survive na hii tone tone yao?

Hapa ni mimi nauliza tuu!,na hata Lissu mwenyewe,nilimuuliza
View: https://youtube.com/shorts/iv7asnge8Qo?si=7i5EQ2XA_8QxfR7d

Time will tell!

Jumapili Njema!

Paskali。
Rejea za Mwandishi kuhusu NRNE
- The Voices From Within: Tundu Lissu ni Mpango wa Mungu, NRNE ni Mpango wa Shetani, ni li Pepo! Limemkumba Lissu!, Akiachana Nalo, Anatinga Ikulu 2025!
 
Wanabodi

Leo ni siku ya Jumapili,najitahidi siku za Jumapili,niwe naleta mada za holistic approach

Nimeona jinsi washabiki wa NRNE walivyo chachamaa kwenye mitandao ya kijamii,utadhani wametiwa ndimu!

Ninachoweza kufanya kwa sasa, ni kuwaombea tuu kwa Mungu,awasamehe ”Ee Mungu Baba,Wasamehe!,Kwa Maana Hawajui Watendalo!”。

Japo kwa sasa wako moto sana,utadhani wametiwa ndimu!,lakini baada ya uchaguzi,kama ni kweli Chadema haitashiriki,itakuwa ni kwisha habari yao!,can you imagine Chadema 2025 -2030 watakuwa wanafanya nini?!。 Sio wataishia kulia sana na kusaga meno kwa miaka 5 bila diwani,bila mbunge na bila ruzuku?!,will they survive na hii tone tone yao?!

Nauliza tuu!

Time will tell!

Jumapili Njema!

Paskali。


No reform no election itaendelea. Na uzee wote unawaza ujinga na upuuzi.
 
Mtu mzima hovyo🤔🤔
FB_IMG_1749139137988.jpg
 
Wanabodi

Leo ni siku ya Jumapili,najitahidi siku za Jumapili,niwe naleta mada za holistic approach

Nimeona jinsi washabiki wa NRNE walivyo chachamaa kwenye mitandao ya kijamii,utadhani wametiwa ndimu!

Ninachoweza kufanya kwa sasa, ni kuwaombea tuu kwa Mungu,awasamehe ”Ee Mungu Baba,Wasamehe!,Kwa Maana Hawajui Watendalo!”。

Japo kwa sasa wako moto sana,utadhani wametiwa ndimu!,lakini baada ya uchaguzi,kama ni kweli Chadema haitashiriki,itakuwa ni kwisha habari yao!,can you imagine Chadema 2025 -2030 watakuwa wanafanya nini?!。 Sio wataishia kulia sana na kusaga meno kwa miaka 5 bila diwani,bila mbunge na bila ruzuku?!,will they survive na hii tone tone yao?!

Nauliza tuu!

Time will tell!

Jumapili Njema!

Paskali。
Hatimaye UVCCM wameweza kutuchorea taswira ya wasiojulikana japo sura wameificha


IMG-20250608-WA0019.jpg
t
 
NO REFORM NO ELECTION
NO REFORMA NO ELECCIÓN
PAS DE RÉFORME PAS D'ÉLECTION
لا إصلاح لا انتخابات
不改革,不选举
НЕТ РЕФОРМЫ – НЕТ ВЫБОРОВ
कोई सुधार नहीं, कोई चुनाव नहीं
কোনো সংস্কার নেই, কোনো নির্বাচন নেই
SEM REFORMA, SEM ELEIÇÃO
HAKUNA MAGEUZI, HAKUNA UCHAGUZI
改革なし、選挙なし
KEINE REFORM, KEINE WAHL
개혁 없으면 선거 없다
REFORM YOK, SEÇİM YOK
NESSUNA RIFORMA, NESSUNA ELEZIONE
KHÔNG CẢI CÁCH, KHÔNG BẦU CỬ
بدون اصلاحات، بدون انتخابات
کوئی اصلاح نہیں، کوئی انتخاب نہیں
ਕੋਈ ਸੁਧਾਰ ਨਹੀਂ, ਕੋਈ ਚੋਣ ਨਹੀਂ
ไม่มีการปฏิรูป ไม่มีการเลือกตั้ง
BABU GYARA, BABU ZABE
ÌYÍPADÀ KÒ SÍ, ÌDÌBÒ KÒ SÍ
AKUKHO GUQULO, AKUKHO UKHETHELO
ምንም �ውጥ �ልመጣ ምንም ምርጫ የለም
ENWEGHỊ NDOGHARỊ, ENWEGHỊ NTULỊAKA
JIJJIIRAA HIN QABNU, FILANNOS HIN QABNU
 
Wanabodi

Leo ni siku ya Jumapili,najitahidi siku za Jumapili,niwe naleta mada za holistic approach

Huu ni uzi wa swali tuu, nimeona jinsi washabiki wa NRNE walivyo chachamaa kwenye mitandao ya kijamii,utadhani wametiwa ndimu!,mtu yoyote ukiposti chochote,wanakuja na NRNE sio tuu za kutosha,bali za kukera!

Ninachoweza kufanya kwa sasa, ni kuwaombea tuu kwa Mungu,awasamehe ”Ee Mungu Baba,Wasamehe!,Kwa Maana Hawajui Watendalo.

Japo kwa sasa wako moto sana,utadhani wametiwa ndimu, lakini baada ya uchaguzi,kama ni kweli Chadema haitashiriki,itakuwa ni kwisha habari yao!,can you imagine Chadema 2025 -2030 watakuwa wanafanya nini?!。 Sio wataishia kulia sana na kusaga meno kwa miaka 5 bila diwani,bila mbunge na bila ruzuku?Will they survive na hii tone tone yao?

Nauliza tuu!

Time will tell!

Jumapili Njema!

Paskali。
Dua la kuku halimpati mwewe.
 
Wanabodi

Leo ni siku ya Jumapili,najitahidi siku za Jumapili,niwe naleta mada za holistic approach

Huu ni uzi wa swali tuu, nimeona jinsi washabiki wa NRNE walivyo chachamaa kwenye mitandao ya kijamii,utadhani wametiwa ndimu!,mtu yoyote ukiposti chochote,wanakuja na NRNE sio tuu za kutosha,bali za kukera!。

Ninachoweza kufanya kwa sasa, ni kuwaombea tuu kwa Mungu,awasamehe ”Ee Mungu Baba,Wasamehe!,Kwa Maana Hawajui Watendalo!”。

Japo kwa sasa wako moto sana,utadhani wametiwa ndimu!,lakini baada ya uchaguzi,kama ni kweli Chadema haitashiriki,itakuwa ni kwisha habari yao!,can you imagine Chadema 2025 -2030 watakuwa wanafanya nini?!。 Sio wataishia kulia sana na kusaga meno kwa miaka 5 bila diwani,bila mbunge na bila ruzuku?!,will they survive na hii tone tone yao?!

Nauliza tuu!

Time will tell!

Jumapili Njema!

Paskali。
Halafu na wewe unajiita msomi eti? Na kama umesoma basi nchi imepata hasara. Yaani wewe unaona ni sawa kabisa kuwa na mazingira haya ya uchaguzi? Umeshindwa hata kuisemea nchi Yako kwa maslahi mapana kwamba kwa kuwa wewe umezeeka basi wajukuu zako wafaidike na mfumo mzuri wa uongozi. Unaandika utumbo huu na uzee wako wote huo.? Hebu wasikilize wazee wanaojitambua akina Butiku na Warioba basi.
Hakika Mayalla maana yake ni njaa. R.I.P Magufuli
 
Umeangalia pafupi sana Pasco. Baada ya uchaguzi feki wa 2025 ajenda ya 2025-2030 inabadilika inakuwa sasa ni kudai KATIBA MPYA nzima. Moto wa kudai katiba mpya unawashwa 10 times.

Tena kwa kupitia elimu ya no reforms no election na momentum iliyopatikana, hii inaenda kuenergise umma udai NG'OMBE MZIMA NA SI MKIA WAKE TU.
 
Wanabodi

Leo ni siku ya Jumapili,najitahidi siku za Jumapili,niwe naleta mada za holistic approach

Huu ni uzi wa swali tuu, nimeona jinsi washabiki wa NRNE walivyo chachamaa kwenye mitandao ya kijamii,utadhani wametiwa ndimu!,mtu yoyote ukiposti chochote,wanakuja na NRNE sio tuu za kutosha,bali za kukera!

Ninachoweza kufanya kwa sasa, ni kuwaombea tuu kwa Mungu,awasamehe ”Ee Mungu Baba,Wasamehe!,Kwa Maana Hawajui Watendalo.

Japo kwa sasa wako moto sana,utadhani wametiwa ndimu, lakini baada ya uchaguzi,kama ni kweli Chadema haitashiriki,itakuwa ni kwisha habari yao!,can you imagine Chadema 2025 -2030 watakuwa wanafanya nini?!。 Sio wataishia kulia sana na kusaga meno kwa miaka 5 bila diwani,bila mbunge na bila ruzuku?Will they survive na hii tone tone yao?

Nauliza tuu!

Time will tell!

Jumapili Njema!

Paskali。
Kwendraaaa..!!!
 
NO REFORM NO ELECTION#
Wanabodi

Leo ni siku ya Jumapili,najitahidi siku za Jumapili,niwe naleta mada za holistic approach

Huu ni uzi wa swali tuu, nimeona jinsi washabiki wa NRNE walivyo chachamaa kwenye mitandao ya kijamii,utadhani wametiwa ndimu!,mtu yoyote ukiposti chochote,wanakuja na NRNE sio tuu za kutosha,bali za kukera!

Ninachoweza kufanya kwa sasa, ni kuwaombea tuu kwa Mungu,awasamehe ”Ee Mungu Baba,Wasamehe!,Kwa Maana Hawajui Watendalo.

Japo kwa sasa wako moto sana,utadhani wametiwa ndimu, lakini baada ya uchaguzi,kama ni kweli Chadema haitashiriki,itakuwa ni kwisha habari yao!,can you imagine Chadema 2025 -2030 watakuwa wanafanya nini?!。 Sio wataishia kulia sana na kusaga meno kwa miaka 5 bila diwani,bila mbunge na bila ruzuku?Will they survive na hii tone tone yao?

Nauliza tuu!

Time will tell!

Jumapili Njema!

Paskali。
USISEME BAADA YA UCHAGUZI SEMA BAADA YA UWANJA KICHAFUKA NYIE MASHABIKI WA TIMU YA NYUMBANI MTAIOATA NGUVU ILE YA MIGAMBO YENU KULINDA UHAI WA MITI YENU HADI NYUMBANI MANA NAJUA MAREFA NA VIP WATAHAMA UWANJA VIA VISA
 
Back
Top Bottom