The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,397
- 9,263
Sasa kwa mbaaaliii nimeanza kuiona tanzania ninayoisubilia kwa hamu
Hembu tuambia ikoje? hivi unafikiri kuna Presindential Material Pale?
Sasa kwa mbaaaliii nimeanza kuiona tanzania ninayoisubilia kwa hamu
hivi team lowasa ikihamia ukawa si tutabeba nchi hii asubuhi na mapema,tuone wataelekea wapi
Wapi Pasco
Kumuondoa Lowasa na Kumwacha Membe imetoa Tafrisi mbaya kwa Mkulu WA Kaya
Kwa kweli ilibidi wote wawili Membe na Lowasa watolewe kwani toka mwanzo kulikuwa na dalili ya uadui kimkakati.Membe na Lowasa ilitakiwa wafutwe kabisa kwenye mzunguko wa kwanza. Kikwete na familia yake wana mkono katika hili jambo na hakuna asiyeliona.
Maamuzi yameshatolewa ndo hayo kubaliana nayo tu hata kama hukujiandaa kisaikolojia. Japo ulijiapiza kuwa huwezi kukatwa kwa vile eti upo CCM tangu kuanzishwa kwake lakini ndo hivyo tena yamekuwa hata wenzako pia walikuwemo vile vile.
Ulizua misemo mingi kipindi hiki kama vile HAKATWI MTU, PATACHIMBIKA, HUWEZI KUZUIA MAFURIKO, yote hiyo ilikuwa ni mikwara yako ambayo labda kwa namna moja ama nyingine imekuponza kwa vile ulikuwa kama unaitishia CCM na ngazi zote za juu za maamuzi na uteuzi.
Najua imekuuma sana kutokana na jinsi ulivyokuwa umeikamia nafasi hiyo ya juu kabisa kitaifa lakini kumbuka asiyekubali kushindwa si mshindani. Siasa ndo zilivyo hata wewe unazijua.
Kwa heri mzee wa safari ya matumaini amini tu kuwa umeshakatwa na hakuna rufaa.
Pole sana pia wapambe na wafuasi wake wote.
Bado unayo nafasi ya kuondoa umasikini katika nchi kwa vile ulisema unakerwa nao.
Ni mimi mpiga kura wa kawaida nisiyefungamana na chama chochote. Nasubiri October nimkate mmojawapo kati ya CCM au UKAWA.
Ubaguzi wa kiukanda walishatamka RAIS hatatoka KASKAZIN.tatizo la Lowasa ni wa kaskazini.membe ni jirani tena nasikia ni familia ya mwenyekiti.Kumuondoa Lowasa na Kumwacha Membe imetoa Tafrisi mbaya kwa Mkulu WA Kaya
Kumuondoa Lowasa na Kumwacha Membe imetoa Tafrisi mbaya kwa Mkulu WA Kaya