Hahahahahahah waambie kumeshakucha sasahv wajianadae kwenda kunywa supu zile fedha zilizobakiaHa ha ha haaaaaaa....
Team Lowa lowaaaa, hawaamini kilichotokea...wengi wao wanadhani wako ndotoni! teh teh teh...
Nimefurahi sana EL kuondolewa. Ila sijafurahi kuona jina la Membe.
Sidhani km utapita mwaka huu kabla hajajifia!
Anaamini ktk kununua uongozi na uongo wa akina tb Joshua na tunguli za akina kingunge!
Hahahahaha kibarua kimekata gafla mkuu sasa utaona updates zioi wakati wafanyakazi wamefukuzwa kazini,mnani ajitolee kazi isiyokuwa na malipo?Nimeingia kwenye facebook page yao baada ya hizi fununu, naona hakuna updates zozote kwa masaa 19
Ndio madhara ya ajira za mafisadi bora mie niliyeamua kuwa mkulima tunavuna mahindi na alizeti now!A.k.a wachumia matumbo, imekula kwao ajira imezimika gafla
Wapi Pasco
Hahahahaha kibarua kimekata gafla mkuu sasa utaona updates zioi wakati wafanyakazi wamefukuzwa kazini,mnani ajitolee kazi isiyokuwa na malipo?
Wacha akatwe tuuu!!