Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

Wana JF.
Nanukuu maneno ya Lowasa siku anatangaza nia Arusha. " Watanzania demokrasia ndani ya CCM ,basi wataitafuta nje ya CCM.
Jiandaeni kwa maamuzi magumu.
WHEN ONE DOOR IS CLOSED ANOTHER IS OPEN.
 
kikwete namkubali sana na haitotokea rais mjanja kama kikwete bila shaka katika ugombea atapitishwa mwanaume,Membe ni swahiba mkubwa wa kikwete na shemejie kwa hyo hawezi kumuangusha wala kumkera kera katika utawala wake,January ni kijana kalelewa na kikwete kisiasa,magufuli ni mfanyakazi mtiifu sana kwa kikwete kuliko waziri yeyote yule ukitaka kuthibitisha fatilia mazungumzo yake tu utajua,Migiro Kuna jambo mpaka akachaguliwa kuwa mbunge na hatimae waziri Yaani kikwete jembe nakukubali sana.
 
ACT walishaacha milango wazi, ufunguo wake ni kutangaza mali alizonazo pamoja na madeni yake. Kwa hiyo anasubiriwa kujisogeza kwa kiongozi mkuu.
 
...aende kwenye mlango mwingine ila aangalie asiingie wa choo cha wafungwa hatatoka salama ....
 
Jaman hayo yanatoka wapi? kwani majina yamewekwa wazi? Nchimbi alisema kuwa leo saa4 asubuh. wacha tuone rasmi
Wewe unataka rasmi ipi tena, babu yako hana chake, kama ulioewa kibarua ujue tayari kimeshaota nyasi kazi basi, rudi nyumbani tu ukale malimao na akina Gwajima
 
Hahahaaaa! Na walikuwa wanakera sio siri, ukiwauliza kwanini tumchague Lowassa kuwa rais wetu?(if akipitishwa na ccm) hata hawana majibu yenye mashiko wanajiumauma tuuuu, afadhali kwakweli.
 
Akaanzishe chama kama anaweza tuone ccm itakavyovurugika.
 
kutafuta mabadiliko nje ya CCM siyo kwa kuchukua makapi toka CCM Bali wale waliokuwa huko kabla na wako huko.hivi we we MTU ulishatangazwa miaka saba kwamba ni mwizi utapewaje nchi?ili uiuze? hana ubavu Wa kwenda popote,mapopoma cjui team fsad cjui nn nawashangaaa sana.yeye lowasa alikpenda chama badala ya nchi,alijiuzulu kulinda serikali ya chama chake ili sisi tusijue ukweli sasa mwache avune Wages of lust.
 
Back
Top Bottom