Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,239
Hamis kaiba jina la mtu, alifeli na akachukua jina la mtu ili aende kusoma nalo.. ni mwizi, tapeli, Team Membe thru Wama...!!! Mmanina..!!
Round hii mtauana kabisa.
Hamis kaiba jina la mtu, alifeli na akachukua jina la mtu ili aende kusoma nalo.. ni mwizi, tapeli, Team Membe thru Wama...!!! Mmanina..!!
Mkuu hata kama aliiba jina lakini kalitendea haki mpaka kawa Dr. tumsifu kwa hilo.
Wakati mwingine jaribu kuficha ujing.a wako.. unajua yule mwenye jina lake angekua wapi sasa hivi?
Mkuu hata kama aliiba jina lakini kalitendea haki mpaka kawa Dr. tumsifu kwa hilo.
lala huna jipya
Ujinga kama huu ndo hatuutaki hata kuhadithiwa.Tangia lini haramu ikazaa halali?Mwizi akikuibia akaenda kuendeleza ile mali kawa tajiri tuna haki ya kuubariki wizi wake!!
Unamkata mainlala huna jipya