Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

Bahati bukuku anamfananisha na mfalme suleiman

Mtaji wa lowasa siku zote ni makundi mawili makuu: Matajiri wa kifisadi na masikini wa aina tatu.
1. Masikini wa kipato. Wanaotegemea lita 3 za petrol leo bila kujua kesho yao itakuwaje.
2. Masini wa akili.........wenye elimu ndogo km kina bashe au kingunge
3. Masikini wa taarifa sahihi kuhusu ufisadi na ujambazi wa lowasa
4. Mafisadi na wapigaji dili wa taifa km rostam, chenge, tibaijuka, karamagi etc
 
Kigwangala chuki binafsi halafu mi nashangaa watia nia 41 wote wanapambana lowassa wanaacha kutueleza watafanya nn wakishinda yeye mwenyewe ana madoa kila mahali...hayaoni

zimebaki siku 4 tutajua nani mwenye madoa kila mahali
 
Anapoongelea uchafu wa wenzake je yeye ni msafi wa kuweza kuaminika? Je analipa kodi ipasavyo kwenye makampuni yake? Kama hanyonyi jasho la wanyonge atueleze mara ya mwisho kuwalipa mishara wafanyakazi wake ilikua lini na anawalipa kiasi gani?

nibora na lowasa angetafuta vyombo vya habari akaeleza uchafu wa wenzake kuriko kutumia mawakala kulalamika,
 
Nyie amumjui huyu kocho alipewa.ubunge na ile ngo ya first.lady ...sa amjui katumwa nani huyu...
 
Kigwangala chuki binafsi halafu mi nashangaa watia nia 41 wote wanapambana lowassa wanaacha kutueleza watafanya nn wakishinda yeye mwenyewe ana madoa kila mahali...hayaoni

Ina maana katika watia nia wote ni Lowassa pekee ndo aliboronga na kujihuzuru? mbona hamuwataji mtu kama Ngereja,Muhongo etc ambao nao nyadhifa zao walivuliwa baada ya kushindwa majukumu ya kiofsi??
Kwanini mnamlisha maneno HKigwangalla wakati yeye hajamtaja mtu?
 
Last edited by a moderator:
Kigwangala pamoja na Lowasa pamoja ccm wote wachafu hakuna mwenye uwezo wa kukemea wenzake waache usanii
 
Once mtu akizungumzia Mgombea Mwizi Fisadi Mla na Mtoa Rushwa hata kama hujataja jina kila mtu huwa anajua tunamzungumzia nani wapo wataomtetea na kumshambulia ila sote huwa tunajua anazungumziwa nani? Haya ni mafanikio kwa kiasi fulani

Ni kweli kabisa..!

Binafsi huwa najiuliza wanaomuunga mkono wanafikiria nini haswa? Maana sidhani kama akipita basi itakuwa ni rahisi sana kuwashinda WAPINZANI wa CCM bila kuangalia yale anayo yaakisi.
 
Vijana mbalimbali mkoani kigoma,wameapa kuwapa UKAWA ushindi katika uchaguzi mkuu ujao iwapo CCM kwa makusudi itaamua kuondoa jina la lowasa bila sababu za msingi.
Vijana hao ambao wengi ni green guard wamesema wako tayari kuwapa ushindi UKAWA,na hata kurudisha kadi ya chama chao kama haki haitatendeka kwa lowasa.Wamesema kuwa hawalazimishi lowasa awe rais wa tano ila wanataka fair game kwa kila mgombea.Namnukuu kijana lugweso"hii ni tahadhali tunatoa kwa viongozi wetu maana tetesi kuwa jina la lowasa litaondolewa hatua za awali katika mchakato wa kumpata mgombea wetu,zimepea sana,hivyo sisi kama vijana tunaomba haki itendeke,lasivyo UKAWA wajiandae kuchukia nchi,mwisho wa nukuu"
Wamebainisha kuwa wapo wagombea wana hofu na EDO,hivyo wanajaribu kutengeneza mizengwe ili jina lake liondolewe kitu ambacho wanakipinga kwa nguvu zote.
CCM ujumbe ndio huo,sauti ya wengi ni sauti ya MUNGU,kazi kwenu.
 
Ahsante kwa kunena kile ambacho wenye akili timamu wanakijua. Potezea comment za misukule inayounga mkono watangaza nia wachafu wa ufisadi.
 
Sasa vijana wa Kigoma wanaweza vipi kuipa ukawa ushindi nchi nzima ? Hao vijana wanaongozwa na yule kiongozi mkuu?
 
DemiGod

Hamisi atapata shida sana

He should learn how the political game plays
 
Last edited by a moderator:
Tusubiri yetu macho tutajua wenye hati miliki ya nchi hii
 
Once mtu akizungumzia Mgombea Mwizi Fisadi Mla na Mtoa Rushwa hata kama hujataja jina kila mtu huwa anajua tunamzungumzia nani wapo wataomtetea na kumshambulia ila sote huwa tunajua anazungumziwa nani? Haya ni mafanikio kwa kiasi fulani

Haa ha ha, ata wapambe wake wanajua, ukiishataja mgombea fisadi na mwizi wanajua ni nani.
 
Back
Top Bottom