demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,309
- 15,288
Kupitia kipindi cha Kituo cha Azamtv ndani ya kipindi cha #Funguka .
Dk Hamisi Kigwangallah alikuwa Akihojiwa na Tido Mhando.
Ndani ya mahojiano hayo, Tido alihitaji kujua kutoka kwa Dk Kigwangallah ni kwanini anagombea nafasi hiyo akiwa kijana asiye na uzoefu wa kutosha serikali wa miaka 5 tu Bungeni..?
Dk Hamisi Kigwangallah alieleza kwamba kuna mifano mingi ambayo inaakisi uamuzi wake wa kuwania urais akiwa na uzoefu mdogo huo.
Alieleza kwamba hata Mwl J.K Nyerere alianza kutumikia nafasi hiyo akiwa hata bado haja timiza miaka 40.
Akasema pia hata Uingereza imekuwa na taratibu ya kuwa na viongozi vijana yeye.
Akaongeza kwa kusema kwamba haoni tija ya kusita kuwania nafasi hiyo kwa kuwa haoni mgombea mwenye sifa....... akaeleza kwamba anashangazwa wagombea wenye [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=Madoa]#Madoa [/URL] ya #ufisadi na walipata kujiuzulu kutoka katika nafasi zao lakini bado wanahitaji nyadhifa za juu zaidi.
Ndani ya Chama chetu, kuna watu wanaogopa kunyoosheana vidole pale ambapo kada anaenda kombo....!
Kuna watangaza nia ambao wanaMadoa ya ufisadi na bado wanatumia walichokivuna kujaribu kununua imani kwa watanzania wenye njaa.
Akasema " nina hakika kwamba chama hakita fanya kosa na kitetenda haki. Naamini kama hata kama chama hakitonipa ridhaa basi nitakiwa tayari kumuunga mkono atakaye chaguliwa, lakini asiwe yule ambaye mwenye [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=Madoa]#Madoa [/URL] ya ufisadi na ubadhilifu wa mali za umma."
Dk Hamisi Kigwangallah alikuwa Akihojiwa na Tido Mhando.
Ndani ya mahojiano hayo, Tido alihitaji kujua kutoka kwa Dk Kigwangallah ni kwanini anagombea nafasi hiyo akiwa kijana asiye na uzoefu wa kutosha serikali wa miaka 5 tu Bungeni..?
Dk Hamisi Kigwangallah alieleza kwamba kuna mifano mingi ambayo inaakisi uamuzi wake wa kuwania urais akiwa na uzoefu mdogo huo.
Alieleza kwamba hata Mwl J.K Nyerere alianza kutumikia nafasi hiyo akiwa hata bado haja timiza miaka 40.
Akasema pia hata Uingereza imekuwa na taratibu ya kuwa na viongozi vijana yeye.
Akaongeza kwa kusema kwamba haoni tija ya kusita kuwania nafasi hiyo kwa kuwa haoni mgombea mwenye sifa....... akaeleza kwamba anashangazwa wagombea wenye [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=Madoa]#Madoa [/URL] ya #ufisadi na walipata kujiuzulu kutoka katika nafasi zao lakini bado wanahitaji nyadhifa za juu zaidi.
Ndani ya Chama chetu, kuna watu wanaogopa kunyoosheana vidole pale ambapo kada anaenda kombo....!
Kuna watangaza nia ambao wanaMadoa ya ufisadi na bado wanatumia walichokivuna kujaribu kununua imani kwa watanzania wenye njaa.
Akasema " nina hakika kwamba chama hakita fanya kosa na kitetenda haki. Naamini kama hata kama chama hakitonipa ridhaa basi nitakiwa tayari kumuunga mkono atakaye chaguliwa, lakini asiwe yule ambaye mwenye [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=Madoa]#Madoa [/URL] ya ufisadi na ubadhilifu wa mali za umma."