Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

inamaana lowasa kwa kukulia umasaini na umri alionao hajakatwa! na,je akikatwa atapona? mifupa ishazeeka ile,halafu ni madhara gani kayapata kwa kutokatwa hadi kufikisha miaka sitini na zaidi?
 
kama alishawahi Kuwa waziri mkuu na akashindwa kubadirisha maisha ya wananchi,Leo hii aseme anaweza??.
wananchi tuna wakati mgimu sana.
 
nadhani chama cha majambazi bado kina wazee japo wachache wenye akili zao nzuri si km kingunge ambao hawatakula matapishi kwa kulipendekeza gamba gumu zaidi ya lile la mamba kuwa mgombea wao.
 
Atakatwa na nini? Wembe au mkasi? Mnapiga kelele za nini? Mwacheni endapo atakatwa na chochote hapo juu(wembe/mkasi) si ataguza kidonda?
 
atakufa coz hela za watu alizoanza kugawa km njugu we !!atazirudishaje!!jiandaeeni na msiba iwapo atakatwa
 
Kama ana uhakika hakatwi ina maana kamati zote hazina chakufanya maana vigezo vyote anavyo, anajitathmini mwenyewe anajipitisha mwenyewe kamati hazina maana. Ni sawa na mwanafunzi anyetunga mtihani wake mwenyewe anasahihisha yeye mwenyewe na kiisha ajipa alama yeye mwenyewe. Lakini mnapaswa kukumbuka kuwa kuna watu ambao walipata kujiamini sana kabla ya kuingia kwenye chumba cha mtihani kuwa wanajua na wakaoona mtihani wameufanya vizuri matokeo yalipotoka hawakuambulia kitu. Mwishowe walijinyonga. Isije ikawa ni hadithi ya namna hiyo.
Mi si mgawa pumzi, bali tuombe tuwepo wakati el akiapishwa, amejipanga, ana vigezo vyote kwa 'standard' ya nchi yetu
 
Kama CCM wanajua kusoma alama za nyakati hawata dhubuti kukata jina la Lowasa kwani ndo kiongozi pekee ndani ya CCM anaeungwa mkono hadi na baadhi ya wanachama wa Upinzani..

Brother kuungwa mkono ni one thing na maadili ni kitu kingine. Angalia team ya lowasa then utafakari kama na wewe ni kijana huoni hayo basi tuna kazi kubwa. Hatutakiwi kupata mtu mwenye ushabiki mkubwa wa watu tunahitaji kiongozi anaye wajali watu na mwenye hofu na mungu.
 
Ukitaka kujua tabia ya mtu angalia marafiki zake,ni jambo la kushangaza Mtanzania mwenye akili timamu hajui kuwa Lowasa ni mtu wa aina gani,huwezi kuwa na wafanyabiashara mafisadi eti ukemee ufisadi,haingii akilini uniambie mtu anayetumia fedha kununua utu wa mtu kama ana mapenzi ya dhati kwa watu wao,leo wasomi wananunulika hawajui hata kusoma alama za nyakati'"kweli msomi bado ni mtumwa kwa mwanasiasa"sijui kama mna mapenzi ya dhati na hii nchi.
 
Misuguano kakusugua weweee...!!?

Apumzike alisema kachoka baada ya kukusugua..!?

Wananchi ndio waamuzi kupitia box la KURA sio ww, wengi wape, usipo wapa watachukua kwa mikono yaoooooo...!!!

Mamaeeee

Usiruke mkojo wewe wananchi hawakipangii chama hata siku moja ..kama hamkukiheshimu chama chenu na mahonyo yote mliyopewa basi inakula kwenu mazima
 
Mwenye nguvu acha aitwe power.. Ata ukikataa utamuita kwa vitendo.. Lowassa atoa magari ya kusafirisha abiria kwa nusu bei Dar - Mwanza baada ya sh 50000.. Ukiwahi la Lowassa ni sh 25000.
 
Ukimtazama na kumsikiliza Edward Ngoyai Lowassa unaweza kunibishia. Ukimtazama na kumsikiliza tena Lowassa utaniamini. Ukimtazama na kumsikiliza Lowassa kwa mara ya tatu, hutatamani kumtazama na hata kumsikiliza mara nyingine. Ni msanii kwelikweli. Lowassa anajipambanua kama dawa ya umaskini wa Tanzania. Ameshindwa vibaya kuuondoa umaskini wa Monduli tu aliyoiongoza kwa miaka 25 kama Mbunge.
 
Ukimtazama na kumsikiliza Edward Ngoyai Lowassa unaweza kunibishia. Ukimtazama na kumsikiliza tena Lowassa utaniamini. Ukimtazama na kumsikiliza Lowassa kwa mara ya tatu, hutatamani kumtazama na hata kumsikiliza mara nyingine. Ni msanii kwelikweli. Lowassa anajipambanua kama dawa ya umaskini wa Tanzania. Ameshindwa vibaya kuuondoa umaskini wa Monduli tu aliyoiongoza kwa miaka 25 kama Mbunge.

Bahati bukuku anamfananisha na mfalme suleiman
 
Kachelewa sana. Hayo mabasi kwa nini yaanze kazi siku chache kabla ya jina lake kukatwa? Aache usanii. Kama anataka kuwa mfanyabiashara kama akina Bakhressa ni bora ajitokeze hadharani
 
Mwenye nguvu acha aitwe power.. Ata ukikataa utamuita kwa vitendo.. Lowasa atoa magari ya kusafirisha abiria kwa nusu bei.. Dar mwanza baada ya sh 50000.. Ukiwahi la lowasa ni sh 25000..
We ni mbwa potelea mbali mkinipa ban,huwez kuleta upuuzi wa ki mbwa mbwa tukae tukuangalie kama binadamu
 
Back
Top Bottom