Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
Lowassa ni team SHETANI
1 Rostam Aziz-alijivua gamba kwa tuhuma za ufisadi.
2.Kingunge N Mwiru-alishutmiwa kuiba mapato ya Ubungo Bus Terminal
3.Madabida-alishutumiwa kuuza ARV feki
4.Emmanuel nchimbi-alishutumiwa katika operesheni Tokomeza
5.Fazaal -mmiliki wa leopard tours alishutumiwa kuwanyanyasa watumishi wake.
source:hapahapa JF
WanaJF hebu ongezeeni Team lowassa members mnaowafahamu!
1 Rostam Aziz-alijivua gamba kwa tuhuma za ufisadi.
2.Kingunge N Mwiru-alishutmiwa kuiba mapato ya Ubungo Bus Terminal
3.Madabida-alishutumiwa kuuza ARV feki
4.Emmanuel nchimbi-alishutumiwa katika operesheni Tokomeza
5.Fazaal -mmiliki wa leopard tours alishutumiwa kuwanyanyasa watumishi wake.
source:hapahapa JF
WanaJF hebu ongezeeni Team lowassa members mnaowafahamu!
Habari zenu waungwana naona me ni mgeni kidogo wa jukwaa hili ila wengi wenu huwa tunakutana kule jukwaa la wataalamuna na lile la madali naomba tujihesabu humu tunao muunga mkono waziri mkuu alie jiuzuru Edward LOwassa....ili tukate mzizi wa fitina
Nawasilisha pamoja sana.
Karamagi
Husein Bashe
Abubakar LYONGO- Huyu amekula posho za waandishi kwenye safari ya matumaini
maiti inayonadiwa na mashetani kuwa inafaa sana kuliongoza taifa hili...
Cheki huyu boya wa chadema anavyoangaika na wagombea wa CCM ... watu wa CCM Wanakuhusu nini..??? Mwaka huu msipokuwa vichaaa sijui