Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

Nina wasiwasi hata wewe mtoa hoja ni team lowasa karibu sana kwenye team kuuuuuuubwa yenye watu wazito.
 
Tunao muungu tupo wengi mkuu nazani tupo milioni 38 ya watanzania wanao muunga mkono mr president tunasubiri kuingia ilkulu tu hakuna mjadala. Unajua nini mkuu kiukweli lowasa ana wanyima sana usingizi watu kutwa wakimuwazia yeye. Huwezi kuzuia mafuriko kaaaa mbali wewe
 
Siku hizi tunachagua kiongozi bora ,atoke ccm au ukawa hatujali bora aweze kusimamia maslahi ya taifa :Lowassa anafaa sana kama siyo yy bc ni wakati wa kutafuta mabadiliko nje ya ccm
 
Siku hizi tunachagua kiongozi bora ,atoke ccm au ukawa hatujali bora aweze kusimamia maslahi ya taifa :Lowassa anafaa sana kama siyo yy bc ni wakati wa kutafuta mabadiliko nje ya ccm

Hamieni ACT
 
Hakuna mwenye hati miliki ya Taifa hili :Hii nchi ni ya watanzania wote .sisi hatuhami nyie waropokaji ndio mtahama.
 
Kuna uzi wenu kautafute, mko wachache sana ila tatizo hautopata idadi kamili, kila mmoja wenu ana id tofauti so chini ya tano!
 
Siku hizi tunachagua kiongozi bora ,atoke ccm au ukawa hatujali bora aweze kusimamia maslahi ya taifa :Lowassa anafaa sana kama siyo yy bc ni wakati wa kutafuta mabadiliko nje ya ccm

Nasikia Namirembe kumejaa ila CANDIDATES wake hamuishi, kila siku mnaibuka!!
 
Nyie mtabaki na matusi &kejeli lakini sisi tuko kwenye safari ya matumaini mpaka Magogoni kejeli zenu hatutaangalia nyuma...
 
Hii ni siri, siku si nyingi mtaona ktk habari mbalimbali jinsi Lowassa anakubalika nchi nzima...!!!

Inasemekana hadi 87% ya wana CCM wanaapa kumpenda kupindukia, ni mtu wa vitendo, he walks the talk, i.e he does what he says...na wana imani kubwa sana na Lowassa... imefikia ukimsema vibaya tu Lowassa wanaanza kuolkunja nyuso zao na kuondoka, Edo anapendwa sana na kuaminiwa mnoo...!! ni mfano wa kiongozi mwenye akili nyingi na kifua kikubwa cha uongozi wa maendeleo kwa wote kwa haraka...!!!

Pia inasemekana hadi 68% ya wapinzani wanamuunga Mkono Lowassa... ukinzia ktk Waalimu, wakristo, waislam, masheikh, maaskofu, UVCCM, UWT, BAVICHA, albinos, bodaboda, machinga, wafugaji, wakulima, wafanya biashara wakubwa, wafanya kazi serikalini, vyuo vikuu, vyuo vingine, wavuvi, ana wananchi wengi kwa UJUMLA kila mtaa, miji, vijiji ni Lowassa anapendwa mnooo...!!!

Hakuna sehemu ya Tanzania au nchi jirani za EAC, hadi U.S.A...VOA, CNN, CBS, BBC, washaanza kumtabiria Lowassa ndie Rais ajaye...!!!

So mtajua hizi habari siku chache zijazo....Kama ilivyo REDET, taarifa yake ilifichwa kabisa na watu wenye madaraka ya juu ili habari ya Lowassa kuongoza REDET inawakera sana, sasa na hii habari itwajia muda si mrefu..!!!

Go Lowassa..2015
 
Hii ni siri, siku si nyingi mtaona ktk habari mbalimbali jinsi Lowassa anakubalika nchi nzima...!!!

Inasemekana hadi 87% ya wana CCM wanaapa kumpenda kupindukia, ni mtu wa vitendo, he walks the talk, i.e he does what he says...na wana imani kubwa sana na Lowassa... imefikia ukimsema vibaya tu Lowassa wanaanza kuolkunja nyuso zao na kuondoka, Edo anapendwa sana na kuaminiwa mnoo...!! ni mfano wa kiongozi mwenye akili nyingi na kifua kikubwa cha uongozi wa maendeleo kwa wote kwa haraka...!!!

Pia inasemekana hadi 68% ya wapinzani wanamuunga Mkono Lowassa... ukinzia ktk Waalimu, wakristo, waislam, masheikh, maaskofu, albinos, bodaboda, machinga, wafugaji, wakulima, wafanya biashara wakubwa, wafanya kazi serikalini, vyuo vikuu, vyuo vingine, wavuvi, ana wananchi wengi kwa UJUMLA kila mtaa, miji, vijiji ni Lowassa anapendwa mnooo...!!!

Hakuna sehemu ya Tanzania au nchi jirani za EAC, hadi U.S.A...VOA, CNN, CBS, BBC, washaanza kumtabiria Lowassa ndie Rais ajaye...!!!

So mtajua hizi habari siku chache zijazo....Kama ilivyo REDET, taarifa yake ilifichwa kabisa na watu wenye madaraka ya juu ili habari ya Lowassa kuongoza REDET inawakera sana, sasa na hii habari itwajia muda si mrefu..!!!

Go Lowassa..2015

Mr. President bado upo? wenzio wote wameshabadili id? wanakuja kivingine
 
Hii ni siri, siku si nyingi mtaona ktk habari mbalimbali jinsi Lowassa anakubalika nchi nzima...!!!

Inasemekana hadi 87% ya wana CCM wanaapa kumpenda kupindukia, ni mtu wa vitendo, he walks the talk, i.e he does what he says...na wana imani kubwa sana na Lowassa... imefikia ukimsema vibaya tu Lowassa wanaanza kuolkunja nyuso zao na kuondoka, Edo anapendwa sana na kuaminiwa mnoo...!! ni mfano wa kiongozi mwenye akili nyingi na kifua kikubwa cha uongozi wa maendeleo kwa wote kwa haraka...!!!

Pia inasemekana hadi 68% ya wapinzani wanamuunga Mkono Lowassa... ukinzia ktk Waalimu, wakristo, waislam, masheikh, maaskofu, albinos, bodaboda, machinga, wafugaji, wakulima, wafanya biashara wakubwa, wafanya kazi serikalini, vyuo vikuu, vyuo vingine, wavuvi, ana wananchi wengi kwa UJUMLA kila mtaa, miji, vijiji ni Lowassa anapendwa mnooo...!!!

Hakuna sehemu ya Tanzania au nchi jirani za EAC, hadi U.S.A...VOA, CNN, CBS, BBC, washaanza kumtabiria Lowassa ndie Rais ajaye...!!!

So mtajua hizi habari siku chache zijazo....Kama ilivyo REDET, taarifa yake ilifichwa kabisa na watu wenye madaraka ya juu ili habari ya Lowassa kuongoza REDET inawakera sana, sasa na hii habari itwajia muda si mrefu..!!!

Go Lowassa..2015

Jamaa kapost hii umeiona?

Jakaya Kikwete ‏@jmkikwete 13h13 hours ago Tusiwasikilize wanasiasa wanaowagawa Watanzania na kutumia fedha kutafuta madaraka. Mchezo wao ni mauti yetu. Wakatalieni kwa macho makavu.

Source: https://twitter.com/jmkikwete
 
Jamaa kapost hii umeiona?

Jakaya Kikwete ‏@jmkikwete 13h13 hours ago Tusiwasikilize wanasiasa wanaowagawa Watanzania na kutumia fedha kutafuta madaraka. Mchezo wao ni mauti yetu. Wakatalieni kwa macho makavu.

Source: https://twitter.com/jmkikwete



#watu ... ur out of this world...mentally, psychologically, and in all terms of thinking...!!!

Wananchi kwa wengi wao ndio wanachagua RAIS wa NCHI YAO...!!!

Rais wa sasa, hana haki au madaraka ya kuchagua au kuteua RAIS AJAYE...!!! haiko hivyooo...!!!

Rais JK, yeye anashauri tu, jinsi anavyoona kwa hisia zake kwa sasa, sio za 2005 au 2010...!!! UNAJUA JK aliingiaje madarakani 2005/2010 akitumia upepo au nn..?? UNAJUA VIZURI AU UNAONGEA TU...!!! Use ur head, stop being used by others..!!!
 
#watu ... ur out of this world...mentally, psychologically, and in all terms of thinking...!!!

Wananchi kwa wengi wao ndio wanachagua RAIS wa NCHI YAO...!!!

Rais wa sasa, hana haki au madaraka ya kuchagua au kuteua RAIS AJAYE...!!! haiko hivyooo...!!!

Rais JK, yeye anashauri tu, jinsi anavyoona kwa hisia zake kwa sasa, sio za 2005 au 2010...!!! UNAJUA JK aliingiaje madarakani 2005/2010 akitumia upepo au nn..?? UNAJUA VIZURI AU UNAONGEA TU...!!! Use ur head, stop being used by others..!!!

wengi tuliowaona ni wanachama wa CCM tena kwenye maeneno amabayo Wenyeviti kama Msindi walifanya maadalizi ya kuwa kusanya?

but anyway LOWASSA is a dead case as by now? Try againa 2025
 
kutokana na kipaumbele cha lowassa kuwa ELIMU ELIMU ELIMU waalimu tanzania nzima wamenuia kumpa kura za ndio lowassa
hii inatokana na uthubutu wake wakati wa uwaziri wake mkuu hasa ujenzi wa shule za kata

naomba JF kama ilivyokawaida yao kufuta thread za kumsifu lowasa wafute
 
Back
Top Bottom