Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,138
- 7,398
Kuna uzi wa huyo jamaa yenu utafute mkajihesabieni.acha kutujazia server na huyo mze wenu.kuongea kwenyewe hajui hana tofauti na bilali.
ujasiri wa kumuunga mkono mwizi umeupata wapi ?
Wewe utakuwa mngonjwa sio bure
anaemuunga mgonjwa mkono naye mgonjwa kama wewe,bora yake mgonjwa wa mwili,ww nahis ni mgonjwa wa fikra.
Lowassa anawanyima sana usingizi
Habari zenu waungwana naona me ni mgeni kidogo wa jukwaa hili ila wengi wenu huwa tunakutana kule jukwaa la wataalamuna na lile la madali naomba tujihesabu humu tunao muunga mkono waziri mkuu alie jiuzuru Edward LOwassa....ili tukate mzizi wa fitina
Nawasilisha pamoja sana.