Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,535
- 20,708
Hata angepata milioni 10 uraisi haaapati
Kakodishe akili, hauko sawa..!!
Hata angepata milioni 10 uraisi haaapati
I am sure pamoja na matusi yote hapa Lowasa he won't make it . Hakuna wa kumkemea lakini he will be told in the open kwamba hafai na hata amini . Matusi si bisara na haiwezi msaidia Lowasa .
Lowasa ana hasira na amejawa na umimi, hana vision hawezi kujieleza .Kashindwa hata kusema why he stepped down as a PM , kama hahusiki na kashfa then why did he step down ?
Wana CCM wana mheshimu late Mwalimu , so kwa kuwa alisha kataliwa mapema kwa matendo yake nina hakika they are ready to be a cursed political party .Lowasa hana la kutueleza sisi watanzania la kunifanya nimwelewe hana hata mfano kuanza Monduli hadi alikpokuwa Waziri Mkuu . Hana na nasema hana . Tujenge hoja tuone ukweli upi matusi si faida wala msaada kwa a soon ditched Lowasa .
Kwanza tuambie uko kambi gani kabla ya kutoa hizo shutuma maana watia nia wengi wanapiga kampeni
kambi inaingia wapi hapa? suala ni kuanza kampeni mapema, is that right?
wadhamini wanaotakiwa na ccm ni 450 tu lakini lowasa ana laki 8. lengo la lowasa ni kukitisha chama chake ili kisikate jina lake na cc.
Mkuu sio morogoro mjini. tunazungumzia mkoa wa morogoro. Pia hizo data zako za mwaka gani.Tuulize sie tuliopo huku.Lowassa ni msanii nguli wa maagizo. CCM inataka jumla ya wadhamini 450 tu, tena nchi nzima, sasa hao laki moja wa nini?
Ukiangalia data za CCM morogoro mjini zinaonyesha wanachama wa CCM walio hai hawazidi Elfu 25, sasa hao Laki moja waliomdhamini Lowassa wametoka wapi?
laki 8 gawa kwa 20 mil idadi ya wanaotarajiwa kupiga kura zidisha kwa 100%
800000/20000000 ×100%= 4%
haaa pole yake....
Mkuu sio morogoro mjini. tunazungumzia mkoa wa morogoro. Pia hizo data zako za mwaka gani.Tuulize sie tuliopo huku.