Chali wa Moshi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 258
- 61
Mahakama gani iliwahi kusema lowassa ni fisadi au mbathilifu??
Mwizi hapendwi ila na mwizi mwenzake
Mwakyembe aliuweka hadharani kipindi icho we Upo kijijiniMwenye ushahidi wa kuwa Lowassa ni Fisadi auweke hapa, tumalize mjadala huu, maana sasa kila siku Fisadi, ushahidi uwekwe hapa mtushawishi na sisi.
Mwenye ushahidi wa kuwa Lowassa ni Fisadi auweke hapa, tumalize mjadala huu, maana sasa kila siku Fisadi, ushahidi uwekwe hapa mtushawishi na sisi.
Bunge letu tukufu likamfukuzisha na upmMahakama gani iliwahi kusema lowassa ni fisadi au mbathilifu??
Hakuna ushahidi mkuu zaidi ni maneno ya vijiweni. Hata huku chamani nao hawana ushahidi. Hii ni ishara njema kuwa wanamchafua kwa maslahi yao binafsi.Mwenye ushahidi wa kuwa Lowassa ni Fisadi auweke hapa, tumalize mjadala huu, maana sasa kila siku Fisadi, ushahidi uwekwe hapa mtushawishi na sisi.
Rais wa Tanzania Mh Kibaka ....................Rais akitoka tena ccm basi Tanzania si sehemu salama ya kuishi,mbali ya tuhuma chache sana kwa mzee EL ila hilo genge la ccm ndio linanipa mashaka makubwa
Wenzio wamekufuru kiasi cha kumfananisha na Mtume Muhammad SAW, soon utamfananisha na Mungu.Edward Ngoyai Lowassa namfananisha na John F Kennedy maana hakuna Rais wa Marekani aliekuwa anapendwa na Wamarekani kama John Kennedy, hata Obama haoni ndani. Lowassa anapendwa na Watanzania mwenyewe anapenda kusema mahaba
Mtumishi wa Serikali anakuwaje bilionea kama sio wizi
Mwakyembe aliuweka hadharani kipindi icho we Upo kijijini
WATU KUPIGIKA NA SHS KUPOROMOKA NI MATUNDA YA RAIS GANI?
***BY NATURE WAMASAI SIO WAONGEAJI SANA BALI KAZI NDIO ZAIDI,ACHANA NA HAWA WAMASAI WA MOROGORO WALIOJAA DAR!***
/ii
General summary kuhusu utumishi wa Lowassa
- Mkurugenzi Mtendaji, AICC, 1989 - 1990
- Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu na makamu wa kwanza wa rais (Sheria na mambo ya bunge), 1990 - 1993
- Waziri wa ardhi na maendeleo ya makazi, 1993 - 1995
- Waziri wa nchi, makamu wa rais - mazingira na umaskini, 1997 - 2000
- Waziri wa maji na mifugo, 2000 - 2005
- Waziri Mkuu, 30 Desemba, 2005 - 7 Februari 2008
Wenzio wamekufuru kiasi cha kumfananisha na Mtume Muhammad SAW, soon utamfananisha na Mungu.
Njaa ni mbaya sana aisee
fanyen uchunguz kwenye vyuo vikuu vyote vya tz muone je lowasa wasomi wanamuelewa au kumkubali exactly NO,,wote wanaomsapoti lowasa ni wale mambumbumu wasio kuwa na uelewa,wenye maradhi ya kusahau haraka maana 2008-2015 sio miaka mingi yakutufanya kumsahau huyu lowasa