Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

Low asa na ndoto zake, akiamka atakuta pesa imeisha na urahisi wanao wengine.
 
Akili zngne bana hazna tofauti na kuku, yaani kupewa vijimaneno vitamu oh sijui safari ya matumaini, watu wanashangilia kwa vifijo na nderemo mmesahau safari ya maisha bora kwa kila mtz ilipofia? Watz kataeni Ccm hawana jipya la kuleta ktk inji hii.
 
Hakuna mungu anayeambatana na mafisadi...


Bahati mbaya sana, Mungu ndie anajua ukweli kuliko ww mnywa GONGO...!!!

Ww bishana na Mungu, utaona cha mtema kuni, kesho utakuwa hanidhi...ndio ukome...!!! hiyo adhabu ya kwanza...!!! endeleaa...!!!
 
Akili zngne bana hazna tofauti na kuku, yaani kupewa vijimaneno vitamu oh sijui safari ya matumaini, watu wanashangilia kwa vifijo na nderemo mmesahau safari ya maisha bora kwa kila mtz ilipofia? Watz kataeni Ccm hawana jipya la kuleta ktk inji hii.


nchi...
 
kavunja rekodi Moro...Mwana wa Mungu...Lowassa, Asante Mungu...!!
 
Daaaah mwana wa mungu tena? Tuhurumieni jamani khaaaa!
 
Nape anamuwaza lowassa,anawaza ukawa anatafuta mlango wa kutokea..
 
Lowassa ni sawa na JOSHUA,

"Lowassa aliambiwa hivi, Je si mimi niliyekuamuru kuwa Uwe hodari na moyo wa ushujaa,usiogope wala usifadhaike, kwakuwa BWANA Mungu wako, yu pamoja nawe kila uendako!"

Hakika Tanzania ya LEO tunaye Joshua wetu wa kututoa hapa tulipo na kutusogeza hatua kadhaa mbele zaidi!
 
Lowassa ni sawa na JOSHUA,

"Lowassa aliambiwa hivi, Je si mimi niliyekuamuru kuwa Uwe hodari na moyo wa ushujaa,usiogope wala usifadhaike, kwakuwa BWANA Mungu wako, yu pamoja nawe kila uendako!"

Hakika Tanzania ya LEO tunaye Joshua wetu wa kututoa hapa tulipo na kutusogeza hatua kadhaa mbele zaidi!

joshua wa nyumbani kwako
 
Tumeshuhudia akiidumaza Monduli kuwa miongoni mwa wilaya duni kuliko hata Longido, achilia mbali Karatu. TUMEMSHUHUDIA AKINYANYASA MAAFISA WATENDAJI WAVIJIJI BILA UTARATIBU HUKU AKIFANYA URAFIKI NA MAFISADI NA YEYE AKIITWA GAMBA KUU. KWA KWELI MTU HUYU HAFAI
 
Lowassa ni msanii nguli wa maagizo. CCM inataka jumla ya wadhamini 450 tu, tena nchi nzima, sasa hao laki moja wa nini?
Ukiangalia data za CCM morogoro mjini zinaonyesha wanachama wa CCM walio hai hawazidi Elfu 25, sasa hao Laki moja waliomdhamini Lowassa wametoka wapi?
 
Lowassa ni sawa na JOSHUA,

"Lowassa aliambiwa hivi, Je si mimi niliyekuamuru kuwa Uwe hodari na moyo wa ushujaa,usiogope wala usifadhaike, kwakuwa BWANA Mungu wako, yu pamoja nawe kila uendako!"

Hakika Tanzania ya LEO tunaye Joshua wetu wa kututoa hapa tulipo na kutusogeza hatua kadhaa mbele zaidi!


Asanteee Mussa...!!! Mwenyekiti wa mkoa wa Dar... Ali Madabida kamfananisha Lowassa na Mtume SAW....!!!

Mimi namfananisha na Yesu...!!! Yaani wee acha tu...!!!

Mungu akubariki sana Mussa...!!! Jina lako kubwa sana tokea enzi za Misri...!!
 
Back
Top Bottom