Edward Lowassa special thread

Kwa kauli yake sasa atasaidia watanzania kuyapata mabadiliko waliyo ya kosa ccm that is watanzania watayapata mabadiliko wayatakayo ukawa na si ccm iliyomtosa though yeye hata kuwa mgombea wa ukawa.

Hasira zake kwa Riz kuwa rais hawezi toka kaskazini atazilekeza ukawa ili Dr. Slaa kutoka kaskazini achaguliwe.
 
Hahaha wamefanya Sport Betting ama Premier Betting?! Hahahaha hahahahaah unanivunja mbavu mkuu buku kwa milioni? Hahahahah leo wamekula kona, page yao ya fb iko dormant

Acha wafie mbali...........Hadi wazee km kingunge wanajidharirisha kwa kusapoti mafisadi.
 
Updates za lowasa jamanii hali yake vipiiii hahahahaaa.ngoja nikanywe zangu novida ya baridiiii kwa toothpick huhuhuuu
 
Aiseee tukubali matokeo, ila Membe kuchaguliwa daaah
 
dah! Kapitia vipindi vigumu sana dunia haina wema tenda wema nenda zako usisubiri shukurani hilo ndo lililomkuta el.

kwa wema gani alioifanuia tanzania? Wa kutuchaji umeme kwa gharama kubwa au? Rip wewe na mafisadi wote hamna nafasi kwa uwezo wa mungu.
 
Wapi mzee kingunge..!! Na meno yaliyobaki yote yameng'oka kwa pressure..mzee tulishakudharau ck nying tu we msaka tonge
 
👣👣👣👣👣👣👣👣👣👣✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌🚶🚶🏃🏃🏃

UKAWA nipokeeni....nakuja...Ni Dr. Slaa tu sasa... hatuwezi fanywa makumazan hivi na CCM... Mm naamini Lowassa ndio Rais... sbb wamefanya uhuni, sasa na mm
na watu kibaoo tunaenda UKAWA kupata kadi CDM kura kwa Dr. Slaa tu sasa...

Sirudi nyumaa... full stop
 
TeamLwasa na Lwasa mnatakiwa mumkomoe JK asipitishe anayemtaka, wale wajbw wa NEC wamchague Magufuli!
 
Ameongea hayo alipohojiwa na mwandishi wa clouds. Amesema hana taarifa zozote

"Sijui lolote, nitaongea nikizipata "

Alikuwa akiingia kwenye kikao cha NEC

Source Clouds FM saa 10.18 AM
 
wadau nimesikia cloud radio wakimuuliza mheshimiwa Lowasa kwamba una maoni gani kuhusu kukatwa kwako,yeye anajibu hajui na wala hajasikia.


chanzo Cloud Radio
 
Mda wowote Mh.Lowasa ataitisha mkutano akiwa na timu yake.Jambo kubwa ikiwa ni kutoa msimamo wao na kutoa tamko zito linaloweza kutikisa nchi.Tunasubiri
 
Kupitia clouds fm asubuhi hii amesikika akisema kuwa yeye hajasikia lolote kuhusu majina matano yaliyotajwa kuhusu wagombea wa ccm. Amesema maneno hayo wakati akihojiwa mwandishi MUSSA HUSSEIN wakati akiingia katika ukumbi wa mkutano kwenye kikao cha halmashauri kuu ya CCM.

kaa mkao wa kula huenda mzee akamwaga mboga, kama noma na iwe noma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…