Unganisha na ile ya jumatatu Mood
Urais 2015 anasema "tutavuka daraja tukifikia" anasema bado 2015 ni mbali sana.
Wanabodi,
Wale wenye access na ITV, lets watch part II ya Mahojiano ya Waziri Mkuu wetu mstaafu kwa kujiuzulu, Edward Lowassa kwenye kipindi cha Dakika 45 kinachorushwa na ITV kuanzia saa 3:00 usiku huu!.
Its expected EL pia atazungumzia his presidential bid kwa uchaguzi wa 2015!.
Nawaombeni tumsikilize kwa makini sana haswa kwa kuzingatia siasa za nchi hii, hazitabiriki sana, haswa kipengele cha "Umdhanie Siye kumbe Ndiye" na pia uwezekano wa "Jiwe walilolikataa waashi, kufanywa kuwa jiwe kuu la pembeni"!.
Karibuni!.
Pasco.
Lowassa alistaafu lini..??
Shule za kata ni ukombozi, tuboreshe walimu, vifaa na ubora