Edward Lowassa ndani ya ITV saa 3 usiku leo

Edward Lowassa ndani ya ITV saa 3 usiku leo

Tanesco kata umeme nchi nzima

Hiyo amro toka lumumba
 
sio sawa ila asitudanganye kama atawatoa!ni unafiki tu

Hivi lowasa alisema atawatoa au atafuata proper channels kuona ni wapi kuna tatizo ,maana haiwezekani watu wakapaza Sauti zao kiasi hicho juu ya ma sheikh wale Wa uamsho
 
mexence Melo hata kama ukifuta thread hizo ila ukweli ndio huo!,unaegemea sana upande wa Ukawa kuliko vingine,Thread zote zinazoichafua CCM na wanachama wake mnaziacha ila anayosemwa Lowassa unaiondoa fasta!!
 
Last edited by a moderator:
Umeme sasa babu wakuu wa intelegensia wanaweza kuamua kukata nch nzima.
Ngoja wakate, wananchi watakuwa wanajiuliza kwanini umeme unakatika wakati wa wagombea fulani tu na haukatika wakati wa hotuba za wagombea fulani tu huku wakifahamu shirika hilo ni mali yao wote.
 
Leo nimeongea na mh Lowassa..kwakweli ni msikivu rais ajaye anaongea kwa unyenyekevu mkubwa.. kikwete aliwai kutupa namba feki
 
Anajifanya kutuhadaa waislamu eti atawaachia Mashekh ili tumchague!?

Kuzikwa na watu wengi sio kwenda peponi,utajaza uwanja,ukumbi na utashangiliwa sana tu ila Ikulu hutoenda maana mungu hajapanga bado

najua kwanini humpendi lowassa
 
Mkuu. Asante kwa taarifa. Mungu awe nawe.

CCM badala ya kutumia fire extinguisher wanatumia doom kuzima moto

act.jpg
 
Sheria inaanza kutumika kesho,ukimwita Edo Rais unashtakiwa uhaini!!
 
Mkuu Molemo Ikiwezekana Wekeni ILANI ya chama kwenye Magazeti....cz kuna watu wanaamini ktk Ilani nakwenye hii vita haitakiwai kumuacha mtu yyt
 
Last edited by a moderator:
mexence Melo hata kama ukifuta thread hizo ila ukweli ndio huo!,unaegemea sana upande wa Ukawa kuliko vingine,Thread zote zinazoichafua CCM na wanachama wake mnaziacha ila anayosemwa Lowassa unaiondoa fasta!!

kumbe na nyie huwa mnaonewa?ahahaha
 
Last edited by a moderator:
Mgombea Urais wa UKAWA Edward Lowassa leo atakuwa na kipindi maalum ITV saa 3 usiku kitakachokuwa kinazungumzia maisha yake,utendaji wake na ni nini atawafanyia wananchi akiingia Ikulu.

Edward Lowassa anayetarajiwa kupata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi mkuu Oktoba atazungumziwa katika kipindi kinachoitwa HUYU NDIYE LOWASSA.Kipindi hicho kinatayarishwa na mtangazaji mashuhuri Sam Mahela.

Kipindi hicho kitatangazwa muda huo huo kupitia Radio One kwa wale ambao hawatatazama Luninga.

Watanzania wanatakiwa kutokukosa kutazama kipindi hiki.

Kwa kusimama kw dk 10 hiyo documentary imeandaliwa kwa miaka mingapi au kipindi hicho maalum kitakua na dk kumi
 
Anajifanya kutuhadaa waislamu eti atawaachia Mashekh ili tumchague!?

Kuzikwa na watu wengi sio kwenda peponi,utajaza uwanja,ukumbi na utashangiliwa sana tu ila Ikulu hutoenda maana mungu hajapanga bado
Mkuu mbona unazungumzia dini tena si wamekataza mambo ya udini
 
Back
Top Bottom