maonomakuu
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 2,516
- 1,198
Best of luck tuko pamoja
Mgombea Urais wa UKAWA Edward Lowassa leo atakuwa na kipindi maalum ITV saa 3 usiku kitakachokuwa kinazungumzia maisha yake,utendaji wake na ni nini atawafanyia wananchi akiingia Ikulu.
Edward Lowassa anayetarajiwa kupata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi mkuu Oktoba atazungumziwa katika kipindi kinachoitwa HUYU NDIYE LOWASSA.Kipindi hicho kinatayarishwa na mtangazaji mashuhuri Sam Mahela.
Watanzania wanatakiwa kutokukosa kutazama kipindi hiki.
Kwani wewe uliyeongea na Mungu kapanga nani ataingia ikulu.Anajifanya kutuhadaa waislamu eti atawaachia Mashekh ili tumchague!?
Kuzikwa na watu wengi sio kwenda peponi,utajaza uwanja,ukumbi na utashangiliwa sana tu ila Ikulu hutoenda maana mungu hajapanga bado
Kweliiiiiiii, hata ITV wenyewe wameshatangazamkuu ni za kweli hizi taarifa au ndio hvyo tena
Anajifanya kutuhadaa waislamu eti atawaachia Mashekh ili tumchague!?
Kuzikwa na watu wengi sio kwenda peponi,utajaza uwanja,ukumbi na utashangiliwa sana tu ila Ikulu hutoenda maana mungu hajapanga bado