Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
Bora yeye anayesali...wengine ni mizimu na uchawi mtupu...
chungulia post ya mwanza hapo juu ! .....mtia nia yupo kwa fundi.
Last edited by a moderator:
Bora yeye anayesali...wengine ni mizimu na uchawi mtupu...
Lowassa ndio rais wa 2015.... Hilo halina shaka kabisa
Wewe nadhani utakuwa ni mtoto wa juzi kwenye siasa za nchi hii.unakumbuka ripoti ya ufisadi iliyosomwa bungeni na Dr.Mwakyembe ikihusisha kampuni hewa ya umeme ya Richmond?Huyu jamaa yako lowasa aliambiwa ajipime maana ripoti ilimtaja moja kwa moja kwa jina kuwa ndio muhusika.wa ufisadi ule.alichokisema ni kwamba tatizo ni uwaziri mkuu.akajiuzulu baada ya hapo akamwagia Dr.Mwakyembe sumu kidogo afe kama siyo serikali kumsaidia matibabu India. Leo mnajifanya mmesahau yote mnataka tumkabidhi ikulu.haiwezekani aisee.Mwaka huu tutasikia mengi, kumbe yale mliyokuwa mnatuaminisha kwamba ni kampuni yake ulikuwa uzushi? kama ni kampuni yake ilikuwaje akajilipa hayo mabilioni? nimekuomba kitu hujakifanya, weka ushahidi hapa unaomuhusisha Lowassa na biashara chafu tujilidhishe ili tusimuunge mkono, leta ushahidi hapa wa wizi mie personally taupeleka kwa DPP ili ashitakiwe, tofauti na hivyo unakaribishwa kwenye safari ya matumaini.
Waziri Mkuu aliyejiuzulu na mtia nia ya Urais kupitia CCM amesema kuwa anasali sana ili aupate Urais wa JMT, ameyasema hayo akiwa mkoani Kigoma akitafuta wadhamini.
Source: RFA-Magazetini leo
Wewe nadhani utakuwa ni mtoto wa juzi kwenye siasa za nchi hii.unakumbuka ripoti ya ufisadi iliyosomwa bungeni na Dr.Mwakyembe ikihusisha kampuni hewa ya umeme ya Richmond?Huyu jamaa yako lowasa aliambiwa ajipime maana ripoti ilimtaja moja kwa moja kwa jina kuwa ndio muhusika.wa ufisadi ule.alichokisema ni kwamba tatizo ni uwaziri mkuu.akajiuzulu baada ya hapo akamwagia Dr.Mwakyembe sumu kidogo afe kama siyo serikali kumsaidia matibabu India. Leo mnajifanya mmesahau yote mnataka tumkabidhi ikulu.haiwezekani aisee.
Yeye ni jembe
Bila hata samahani je unahitaji udhibitisho kutoka kwenye maandiko matakatifu?
Hiv mtu akiandika hv"wazir aliyejiuzuru kwa kashfa ya wizi wa mabilioni ya fedha na mikataba fek(Richmond)" kuna tatizo gan hapo.....????
Tatizo lipo because he was not convicted in a court of law.
Mwaka huu tutasikia mengi, kumbe yale mliyokuwa mnatuaminisha kwamba ni kampuni yake ulikuwa uzushi? kama ni kampuni yake ilikuwaje akajilipa hayo mabilioni? nimekuomba kitu hujakifanya, weka ushahidi hapa unaomuhusisha Lowassa na biashara chafu tujilidhishe ili tusimuunge mkono, leta ushahidi hapa wa wizi mie personally taupeleka kwa DPP ili ashitakiwe, tofauti na hivyo unakaribishwa kwenye safari ya matumaini.
Mbona bunge limesema hivyo mkuu..??mbona mwenyewe ajakana mkuu?mbona atuambii ukwel ilikuwaje? au walimsingizia au laa?...mwakyembe alivyosema akikataa atatia in and out akakaa kimyaaaa....au mkuu ww ushalamba baasha mkuu??
Ukweli upi unautaka zaidi ya alichokieleza wakati ule TBC akihojiwa na Tido? au ulikuwa bado hujazaliwa? inaonesha unauzoefu sana wa kupewa bahasha so usidhani wote makahaba au mashoga humu.
Wewe nadhani utakuwa ni mtoto wa juzi kwenye siasa za nchi hii.unakumbuka ripoti ya ufisadi iliyosomwa bungeni na Dr.Mwakyembe ikihusisha kampuni hewa ya umeme ya Richmond?Huyu jamaa yako lowasa aliambiwa ajipime maana ripoti ilimtaja moja kwa moja kwa jina kuwa ndio muhusika.wa ufisadi ule.alichokisema ni kwamba tatizo ni uwaziri mkuu.akajiuzulu baada ya hapo akamwagia Dr.Mwakyembe sumu kidogo afe kama siyo serikali kumsaidia matibabu India. Leo mnajifanya mmesahau yote mnataka tumkabidhi ikulu.haiwezekani aisee.
E.L akiutaka ufalme wa Ikulu akubali kujitwisha msalaba wake, agawe mali zake zote na ajitenga na kundi lake la mafiaso ( secrety societies)Hata Ungekuna Na Rusifa Mwenyewe Nchi Inakwenda Ukawa Mungu Najua Mungu Unaemwabudu Sie Alieziumba Mbingu Na Nchi, Leo Utasikia Uko Kanisani Kesho Uko Mskitini Kesho Kutwa Uko Kwa Kalumanzila, Mala Kwa Tb Joshua Bila Shaka Kuna Mungu Unaemuabudu Ambae Bila Shaka Ni Shetani