Edward Lowassa: Nasali sana ili nipate Urais

Edward Lowassa: Nasali sana ili nipate Urais

Kutojitambua shida sana waweza shabikia udhalimu bila kujijua!tanzania hatuna uhaba wa watu makini hadi tufumbe macho kuwapa mafisadi nchi!hivi jaman tunatambua hadhi ya Urais na dhamana yake kwa watanzania kweli?
 
Na huku alikuwa anafanya nini?
 

Attachments

  • 1434259846140.jpg
    1434259846140.jpg
    37.1 KB · Views: 262
Jambazi sugu na fisadi papa lowasa kamwe hawezi kuwa rais wa tz. Ni mwizi ana fitina hana hoja hawezi kujieleza. Hana ubobezi wa aina yoyote.
Nguvu yake kubwa ni kinunua watz kwa nguvu ya pesa.
 
Bora yeye anayesali...wengine ni mizimu na uchawi mtupu...
 
Yani mtu awe mwizi kwa makusudi kabisa halafu anasali anamwabudu mungu gani labda kama anaabudu miungu.

Samaki mmoja akioza wote wameoza, mtu anaetetea wizi na ufisadi naye ana tabia hizo hizo sasa kwenye CCM hajaoza mmoja ni wengi tu wameoza kwa kashfa mbalimbali hivyo wote mmeoza, na wale tunaowaona dhahiri kwa macho yetu Bungeni wakitetea huo uozo wenu(wizi , ufisadi, rushwa na ukiukwaji wa maadili) wote mko sawa tu, Hivyo ndugu zangu adui yetu namba moja ambae ndio ametufukisha hapa tulipo ni CCM na mfumo wake wote na wote waliomo humo ni wezi na mafisadi kwani wangekua na dhamira ya dhati ya kutokomeza ufisadi na rushwa leo hii hao wanaotuhumiwa na kutajwa katika kashfa mbalimbali nchini tungeshawasahau kabisa katika siasa za nchi hii, lakini cha kushangaza ndio wanazidi kutetewa, kusifiwa na kukumbatiwa kwa kupewa vyeo mbalimbali ndani ya Chama, Serikalini na Bungeni.
 
Lowassa lazima aseme anautaka urais sana maana kapokea hela za watu kibao.

Hapo kwenye red, huyo MPETE mkuuubwa anaouva ni wanini? au wamasai siku hizi wanavaa mipete ya gold?

😕we unataka kutuambia hiyo pete ni ya nini?..Imani za wabongo bhana...
 
Anahitaji TOBA zaidi kuliko SALA:


Alipokuwa mkurugenzi AICC akajimilikisha "Land"

Alipokuwa waziri wa ardhi akajiuzia nyumba na viwanja bei chee maeneo muhimu Dar (anapangisha mabalozi).

Alipokuwa waziri wa mifugo akajiuzia Ranchi za taifa kwa bei poa. Tamaa.

Alipokuwa waziri mkuu alihusishwa na kasha ya Richmond akalazimika kujiuzuru.

Je, akiukwaa URAIS wa JMT atajiuzia kitu gani? Watch out!!!

TAMAA YA FISI..
 
Atubu kwanza, kwa ufisadi alioutenda kwa nchi hii. Wananchi wanahitaji kupata maelezo juu vyanzo vya UTAJIRI wake. Ajibu maswali kuhusu maadili yake na maswahiba wake waliojaa tuhuma na ndio team lowasa.
 
Anahitaji TOBA zaidi kuliko SALA:


Alipokuwa mkurugenzi AICC akajimilikisha "Land"

Alipokuwa waziri wa ardhi akajiuzia nyumba na viwanja bei chee maeneo muhimu Dar (anapangisha mabalozi).

Alipokuwa waziri wa mifugo akajiuzia Ranchi za taifa kwa bei poa. Tamaa.

Alipokuwa waziri mkuu alihusishwa na kasha ya Richmond akalazimika kujiuzuru.

Je, akiukwaa URAIS wa JMT atajiuzia kitu gani? Watch out!!!

TAMAA YA FISI..

Hauna jipya kinachokusumbua ni frustration baada ya kujaribu njia zote kumchafua Lowassa mkashindwa! Hatutaki kusikia mbwembwe zenu na fitna tuko uwanjani tuangakie mpambano!
 
Yani mtu awe mwizi kwa makusudi kabisa halafu anasali anamwabudu mungu gani labda kama anaabudu miungu.

Kweli kabisa Mkuu.

Hata asali vioi hawezi kuupata Urais. Mingu amemlaani kwa kumnyonyoa nwele Dr Mwakyembe pamoja na ufisadi aliofanya na anaoendelea kuufanya. Huwezi kutegemea huruma ya Mungu ilhali Mungu huyo huyo unazidi kumchefua kila kukicha

Du, yaani ma CCM mnavyochukukiana kwenye issue ya urais, du!
 
Anahitaji TOBA zaidi kuliko SALA:


Alipokuwa mkurugenzi AICC akajimilikisha "Land"

Alipokuwa waziri wa ardhi akajiuzia nyumba na viwanja bei chee maeneo muhimu Dar (anapangisha mabalozi).

Alipokuwa waziri wa mifugo akajiuzia Ranchi za taifa kwa bei poa. Tamaa.

Alipokuwa waziri mkuu alihusishwa na kasha ya Richmond akalazimika kujiuzuru.

Je, akiukwaa URAIS wa JMT atajiuzia kitu gani? Watch out!!!

TAMAA YA FISI..

Hauna jipya kinachokusumbua ni frustration baada ya kujaribu njia zote kumchafua Lowassa mkashindwa! Hatutaki kusikia mbwembwe zenu na fitna tuko uwanjani tuangakie mpambano!
 
Lowassa alianza na Mungu kwa njia ya kupanda mbegu kwenye nyumba za ibada. Pale walipomtuhumu kwa uongo hakuwajibu alienda madhabahuni, alikaa kimya na kusikiliza sauti ya Mungu "usijibizane na hawa nitakupigania na utashinda"

Baada ya miaka Saba ya vita kali Mungu akamuinua Lowassa baada ya sala zake na sadaka yake kupokelewa na Mungu.

Waliodhani hatasimama tena Mungu amemsimamisha Mara nyingine tena. Na hii ndiyo nguvu ya Lowassa ni ucha Mungu wake. Hili litamfikisha mbali, na viunzi vyote kwa msaada Wa Mungu ataviruka na taji atavikwa.

Tusichokijua hakuna kiongozi hata Mmoja Wa CCM au Wa upinzani anayemchukia Lowassa. Wote wanamkubali kuwa uwezo na busara anazo. Wanajua siyo mnafiki bali mungwana sana.

Ni mtu ambaye ni msikivu sana mpole asiyevumilia mamba ambao hayana tija. Ni MTU straight forward siyo mbabaishi. Ukifanya jambo atakutazama machoni na kusema hapana Y hili siyo sahihi. Na ndiyo siri ya mafanikio ya watu wengi wenye kusema kweli kwa kusimamia wanachokiamini ni cha kweli.

Wewe ni mwongo!! alipoutema Uwaziri mkuu!! alikuwa akilewa asubuhi mchana na jioni??? bila kuamini kilichomtokea???

Au turushe picha akipiga kilauri chakali ndio ujue tunamjua?
 
Nasubiri wamtangaze
 

Attachments

  • 1434274199626.jpg
    1434274199626.jpg
    90 KB · Views: 111
Back
Top Bottom