Edward Lowassa: Nasali sana ili nipate Urais

Edward Lowassa: Nasali sana ili nipate Urais

Loaswasa ni fisadi.mkuu wa nchi kamwe hafai kuwa rais mtu mwenye roho mbaya.fitna.husda.chuki.visasi.hasira.upendeleao hafai hata kwa dawa rais ni dr slaa
 
we cant ray on kashfa ambazo hata mahakaman hazipo! mbona uhuru kenyatta kawa rais huku kes ikiwa ICC?? na hata kama akiwa mtenda dhambi vip kwa mungu kuna kila msamaha ukipiga goti kwake! wewe subiri utabiri wa TB shojua utimie..!

unataka kusema Richmond haikuibia watanzania? suala mahakamani ni kulindana tu na si kwamba hawakufanya. Mwisho wa siku hata Chenge na Rostam utawatetea eti kisa hawajafika mahakamani.
 
Suala la kusema mbona lowassa kapania sana kuutaka urais ni ujinga ... We ulitaka asipanie?? Yaani uende kwenye pambano Kali la kuongoza nchi halafu uende kwa kutia tia huruma .... No haiwezekani lazima apambane na aoneshe nia ya dhati ya kuongoza ...
Siyo urais tu hata ktk kutongoza demu usipopania hushiki hata ziwa ...
 
Lowassa ndiye mwana ccm pekee mwenye dhamira ya dhati ya kuwa rais wa Tanzania..

Huyu ni mgombea mchamungu ndomana kila alifanyalo humtanguliza mungu mbele

Lowassa lazima aseme anautaka urais sana maana kapokea hela za watu kibao.

Hapo kwenye red, huyo MPETE mkuuubwa anaouva ni wanini? au wamasai siku hizi wanavaa mipete ya gold?
 
Lowassa alianza na Mungu kwa njia ya kupanda mbegu kwenye nyumba za ibada. Pale walipomtuhumu kwa uongo hakuwajibu alienda madhabahuni, alikaa kimya na kusikiliza sauti ya Mungu "usijibizane na hawa nitakupigania na utashinda"

Baada ya miaka Saba ya vita kali Mungu akamuinua Lowassa baada ya sala zake na sadaka yake kupokelewa na Mungu.

Waliodhani hatasimama tena Mungu amemsimamisha Mara nyingine tena. Na hii ndiyo nguvu ya Lowassa ni ucha Mungu wake. Hili litamfikisha mbali, na viunzi vyote kwa msaada Wa Mungu ataviruka na taji atavikwa.

Tusichokijua hakuna kiongozi hata Mmoja Wa CCM au Wa upinzani anayemchukia Lowassa. Wote wanamkubali kuwa uwezo na busara anazo. Wanajua siyo mnafiki bali mungwana sana.

Ni mtu ambaye ni msikivu sana mpole asiyevumilia mamba ambao hayana tija. Ni MTU straight forward siyo mbabaishi. Ukifanya jambo atakutazama machoni na kusema hapana Y hili siyo sahihi. Na ndiyo siri ya mafanikio ya watu wengi wenye kusema kweli kwa kusimamia wanachokiamini ni cha kweli.

Mkuu acha kumsingizia mungu..samahani lakin..
 
Yani mtu awe mwizi kwa makusudi kabisa halafu anasali anamwabudu mungu gani labda kama anaabudu miungu.

Mkuu Simiyu naona uko kwenye sayari nyingine kabisa. Mtu mwenye dhambi ndiye anayesali na kuomba asamehewe dhambi zake na Mungu. Na hata wasio na dhambi uomba pia ili wasiingie majaribuni wakatenda dhambi. Kwa hiyo Lowassa yuko sawa tu kusali, lakini sio kwa ajili ya kupata uraisi tu bali kutubu pia dhambi alizotenda. Vinginevyo utuambie kama watenda maovu hawatakiwi kwenda kanisani au misikitini kusali waende wapi?
 
we cant ray on kashfa ambazo hata mahakaman hazipo! mbona uhuru kenyatta kawa rais huku kes ikiwa ICC?? na hata kama akiwa mtenda dhambi vip kwa mungu kuna kila msamaha ukipiga goti kwake! wewe subiri utabiri wa TB shojua utimie..!

Nasikitika kusema TB yawezekana hakuisubiri roho ya ufahamu na ushauri kabla ya kutoa utabiri huo.
 
Nilishtuka niliadhan Anamuomba Mungu kumbe mungu hili jina linaloanza na herufi ndogo, maana kuna miungu wengi ila Mungu wa kweli ambaye anaadikwa kwa herufi ya kwanza Kubwa yaani Mungu ,hawezi kubariki udhalimu na ufisadi uliofanyika na unaoendelea kufanywa,Mungu si wa kupewa rushwa namna hiyo!Rais atapatikana katika njia za Haki na si uzandiki na udhalimu, kwa namna hiyo!ila povu lote ulilotoa ni matokeo ya kujishibisha upepo ambao ni matokeo ya rushwa na ufisadi!mwalimu Nyerere alishatufumbua macho juu ya EL waweza danganya watu kwa muda si wakati wote!
 
Lowassa ndiye mwana ccm pekee mwenye dhamira ya dhati ya kuwa rais wa Tanzania..

Huyu ni mgombea mchamungu ndomana kila alifanyalo humtanguliza mungu mbele

Naam,

Mwenye dhamira ya dhati ya kuwa Rais wa JMT. Na akiikosa hiyo nafasi anaweza kufa kwa mshtuko.
Swali ni je, hiyo dhamira yake ya dhati ya kuwa Rais ina nia njema kwa Mustakabali wa Tanzania?
 
Nilishtuka niliadhan Anamuomba Mungu kumbe mungu hili halina haka maana kuna miungu wengi ila Mungu wa kweli ambaye anaadikwa kwa herufi ya kwanza Kubwa yaani Mungu hawezi kubariki udhalimu na ufisadi uliofanyika na unaoendelea kufanywa,Mungu si kupewa rushwa namba hiyo!Rais atapatikana katika njia za Haki na si uzandiki kwa namna hiyo!ila povu lote ulilotoa ni matokeo ya kujishibisha upepo ambao matokeo ya rushwa na ufisadi!mwalimu Nyerere alishatumbua macho juu ya EL waweza danganya watu kwa muda si wakati wote!

Nani anakufaa wewe taja wa kwako tujue
 
we cant ray on kashfa ambazo hata mahakaman hazipo! mbona uhuru kenyatta kawa rais huku kes ikiwa ICC?? na hata kama akiwa mtenda dhambi vip kwa mungu kuna kila msamaha ukipiga goti kwake! wewe subiri utabiri wa TB shojua utimie..!

Naona Kitoke hujitambui kabisa na hii inaonekana Watanzania wengi ni mbumbumbu tu. Yaani unaamini usanii wa TB Joshua? Wewe ndiyo hamnazo kabisa. Huyu Lowassa ni fisadi na haendi popote zaidi ya Monduli
 
Anayenifaa nataja sifa zake Kama ifuatavyo
1.asiyetuhumiwa kwa ufisadi
2.asiyetumia nguvu Kubwa kuomba uongozi,na ambaye anasubiria ridhaa ya watz
3.ambaye hajiapishi kwamba lazima awe rais kwani yeye nani

Huyo ndo rais ninaye ona anafaaa
 
Anasali sana au anatumia pesa kuupata urais!!!!????
 
Jamani jamani. Hivi mbona mnaendelea kuongelea hawa watu? Kila kukicha ni Membe, Lowasa. Hawa wote hawafai kabisa kwenye nafasi ya urais. Tunataka Rais wa kutuunganisha Watanzania na si kutugawa


Ni nani wa kutuunganisha kama sio lowasa? ukawa?

Hatutaki nchi yetu kuongozwa na kabila fulani
 
Back
Top Bottom