Edward Lowassa: Nasali sana ili nipate Urais

Edward Lowassa: Nasali sana ili nipate Urais

Kusema mgombea anamcha mungu sana si sawa kwa sabab mcha Mungu kweli anajulikana na Mungu.Wapo wanaojifanya wachamungu lakin ni wanafik.Kutoa michango makanisan na misikitin pekee haionyeshi kuwa mtu ni mchamungu au la bali kama ametoa kwa moyo wa dhati na uchaji.Kwa Mkristo sadaka ni siri kati yako na Mungu tena uwe umeipata kihalali sasa hiyo ya kujitangaza sana kwangu mm ina Sakhalin.sisemi watu wasitoe sadaka ila tuwe makini tusije hadaika kwa sadaka.Pili tunataka Lowasa aseme hadharani ni vip richmond hausik maana nakumbuka mchakato mzima wa richmond ulikuwa utata jamani hebu kasomen upya ripoti ya Mwakyembe then aje akanushe na maswali tumuulize walau tujiridhishe.Si katai Lowasa anaweza kuwa rais au la ila mm naona tuache ushabiki wa watu na vyama wale wote wanaojiita wachamungu kila mtu na iman yake tumwombe Mungu ili tumpate kweli mtu ambae ana nia ya dhati kutusaidia watanzania tutoke hapa tulipo.
 
Waziri mkuu wa Tanzania ni cheo ambacho kipo ceremonial na sio executive kama nchi zingine kama UK, ETHIOPIA, ISRAEL NK.Kwahiyo mpk hapo inabidi ufahamu kua Richmond was a collective Government thing and not Lowassa as individual.
Secondly Lowassa hakuhojiwa na Tume which was a gross mistake. Naomba unitajie Tume gani ambayo umeisikia duniani ambayo inafanya conclusion yake pasipo kumhoji mhusika mkuu wa hizo tuhuma? Natural justice haikufikiwa.
Thirdly kama Richmond ilikua fake,mbona serikali iliinunua Dowans na it took Hillary Clinton and her President Barack Obama to come and officiate the operations?

mkuu gayona swali lako hilo la thirdly,kuhusu serikali kununu dowans wakati ni fake,Serikali iliyojaa ufisadi haiwezi fanya mambo ya kihalali rejea
-Escrow:za wananchi ama sio?Serikal yako ilipinga sana lakini ajabu watu wamevuliwa vyeo kwa suala hili.
-Katiba mapesa mengi yametumika lakin kikowapi?
-Rada kuwa ni fake na hapa gvmnt ilipinga.
:Nb Lowasa ni mwizi hatfai.
 
Haya msisahau kuwapigia kura wanaopeperusha nchi yetu kimataifa


Kupiga kura
Diamond Platnumz kategori 3 (tatu) - Best MALE, Best COLLABORATION na Best LIVE and Vanessa 1(moja) -- Best FEMALE

ilj ngia kwa link hii chini

http://mama.mtv.com/voting/


Bonyeza bonyeza VOTE usichoke
 
mkuu gayona swali lako hilo la thirdly,kuhusu serikali kununu dowans wakati ni fake,Serikali iliyojaa ufisadi haiwezi fanya mambo ya kihalali rejea
-Escrow:za wananchi ama sio?Serikal yako ilipinga sana lakini ajabu watu wamevuliwa vyeo kwa suala hili.
-Katiba mapesa mengi yametumika lakin kikowapi?
-Rada kuwa ni fake na hapa gvmnt ilipinga.
:Nb Lowasa ni mwizi hatfai.

Kaiba nini? hilo ndo swala tunalotaka kujua na ukinithibitishia hilo leo hii mimi nitakuwa wa kwanza kuupeleka huo ushahidi kwa DPP ili ashtakiwe, kama ni mwizi mbona boss wenu hakumweka kwenye ile list yenu ya "list of shame"?

Kuhusu Richmond wala msiongee maana ni aibu na sasa watanzania wanaelewa shida ilikuwa ni uwaziri mkuu maana tofauti na hapo mpaka anajiuzuru bado hakukuwa na pesa ya serikali iliyokuwa ishatoka na hivyo ilikuwa rahisi sana kwa serikali kutokuukamilisha mkataba ule, unless otherwise iwe alimuiba mama yako na ushahidi unao unaweza tuwekea hapa pia, shame upon you.
 
Haya msisahau kuwapigia kura wanaopeperusha nchi yetu kimataifa


Kupiga kura
Diamond Platnumz kategori 3 (tatu) - Best MALE, Best COLLABORATION na Best LIVE and Vanessa 1(moja) -- Best FEMALE

ilj ngia kwa link hii chini

MAMA 2015


Bonyeza bonyeza VOTE usichoke

Mkuu umepotea njia?
 
Wadau, ukweli ni kwamba watia nia wote wanasali sana ili Mungu (bila kujali dhehebu) anawassidia kuingia Magogoni. Swali langu ni kwamba; kwa baadhi tayari wameshamwaga pesa nyingi sana ili kuhakikisha wanaingia magogoni, sasa kwa nini mtu asali sana ilhali alishaweka matumaini yake kwa pesa (rushwa)?

Kuna nini Ikulu hadi mtu asali ili kuingia. Wananchi wanajua nani anafaa ikulu sasa sala ni za nini?

Binafsi nafikiri uchu umepitiliza na watu wa jinsi hii wanaweza kuwa watu hatari sana!
 
Waziri Mkuu aliyejiuzulu na mtia nia ya Urais kupitia CCM amesema kuwa anasali sana ili aupate Urais wa JMT, ameyasema hayo akiwa mkoani Kigoma akitafuta wadhamini.

Source: RFA-Magazetini leo
Lowasa hana Mungu

Angalia Kauli hizi
(1) Mimi sina Mpango wa Kushindwa
(2) Nasali sana ili niingie Ikulu!!

Hizo sentesi mbili zina onyesha hana Mwelekeo
Mtu ambaye anamuomba Mungu hawezi kujitegemea nafsi yake na Kusema sina mpango wa Kushindwa!!
MKristo yoyote anayemtegemea Mungu angesema Kwa neema ya Mungu nitakuwa Rais , lakini kusema sina mpango wa Kushindwa maana yake amechukua nafasi ya Mungu kufanya muujiza wa kuwa Rais.
Mara nyingi imani hupimwa kwenye jibu la hapana!

Sasa kama hana mpango wa Kushindwa ni kwa nini anasali sana???
 
Kama lowasa asingegombea urais mwaka huu kuna watangaza nia wangekosa sera na hoja za kusema maana kuna wagombea ambao wao kila wanachokisema ni lowasa lowasa.
 
Lowasa hana Mungu

Angalia Kauli hizi
(1) Mimi sina Mpango wa Kushindwa
(2) Nasali sana ili niingie Ikulu!!

Hizo sentesi mbili zina onyesha hana Mwelekeo
Mtu ambaye anamuomba Mungu hawezi kujitegemea nafsi yake na Kusema sina mpango wa Kushindwa!!
MKristo yoyote anayemtegemea Mungu angesema Kwa neema ya Mungu nitakuwa Rais , lakini kusema sina mpango wa Kushindwa maana yake amechukua nafasi ya Mungu kufanya muujiza wa kuwa Rais.
Mara nyingi imani hupimwa kwenye jibu la hapana!

Sasa kama hana mpango wa Kushindwa ni kwa nini anasali sana???

teh teh teh
 
Lowassa ni mcha mungu lazima amtangulize mungu ktk kila jambo ...

Twende na lowassa 2015
 
Waziri Mkuu aliyejiuzulu na mtia nia ya Urais kupitia CCM amesema kuwa anasali sana ili aupate Urais wa JMT, ameyasema hayo akiwa mkoani Kigoma akitafuta wadhamini.

Source: RFA-Magazetini leo
huu bwana hatapata uraisi wa nchi hii-yeye na timu yake wanatumia pesa sana ila mwisho wa siku atakuwa ni kama amefanya mazoezi ya mwili kwa manufaa yake
 
Hata jambazi huwa anamuomba mungu kabla ya kuiba asikamatwe
Rais ni the young master Makongoro Nyerere
 
Back
Top Bottom