KILA LA KHERI JEMBE,
Nakutakia ushindi si kwasababu lowassa alikuja uko la hasha lowassa Hana uwezo wa kunishawishi nikutakie ushindi , nakutakia ushindi kwa sababu zifuatazo
1. We ni muungwana Na mchapakazi, hukutubagua mara kadhaa tulipokuja count ya Nairobi Kenya, tukiwakilisha nchi Yetu,
2. Kazi uliyofanya Na kuiendeleza kenya ni sababu tosha ya watanzania wapenda maendelea Na wenye slogan ya hapa kazi tu kukutakia ushindi
3. Japo rushwa ni changamoto kwa nchi nyingi za Africa ikiwemo kenya ,lakin hupendi rushwa,
4. Umelelewa katika maadili ya uongozi ,
KUJILETA LOWASSA KATIKA KAMPENI ZAKO KULITIA DOSARI KIDOGO JAPO KWAKUWA WAKENYE WANAKUKUBALI WATAKUPA,
nilifurahi pale ulipotoa ufafanuzi baada ya Wakenya kuhoji haya
A. Hivi huyu lowassa si ndo Yule aliyesaini mkataba hewa wa Richmond apate hela kwa udanganyifu serikalini?
B. Si ndo huyu ambaye alifukuzwa Na ccm ? Ya magufuli? ( Wakenya niwakosoe hakufukuzwa Ila aliama baada ya kukatwa)
C. Si ndo huyu ambaye alijichukulia ardhi ya kutosha kwa kudanganya wananchi akiwa waziri wa ardhi?
D. Si ndo huyu ambaye tuliona kwenye kipindi Cha KTN Kenya katika history, Mzee nyerere akisema hafai?
BAADA YA KUJUA HAYO KENYYATA AKAJITETEA HAKUMUITA KATIKA KAMPENI ZAKE, ALIJILETA TU,
NAKUTAKIA KILA LA KHERI KENYATA UHURU
By Samweli mathayo