mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,995
- 3,402
Mimi sio mpenzi wa siasa za afrika coz wanachokisema mdomoni ni tofauti na kilichomo akiliniHivi hii imekaaje ya upinzani kuunga mkono chama tawala nchi jirani sio kwamba huwa wana umoja wao Wa upinzani ambapo huwa wana peana support??
Videongoja, kwani lowasa ni raia wa nchi gani?, alifuata nini kenya acha azomewe tu, kwako yamekushinda kwa jirani utayaweza
Mkuu obviously kosa liko associated na kumuombea Uhuru Kenyatta kura.Kuzomewa ni message ambayo inamaanisha kati ya mambo mawili.Aidha yeye mwenyewe Lowasa hastahili kumuombea Uhuru kura kwa kuwa hafai kwa njia moja au nyingine au hawakuona logic kwa nini Lowassa amuombee Kenyatta kura.Alternatively inawezekana walimzomea kwa kuwa hawakuona kwa nini mtu asiyefaa kuongozaUhuru Kenyatta alimwalika Lowassa kwenye kampeni zake za Urais nchini Kenya.
Lowassa alisimama na kumuombea Uhuru Kenyatta kura, lakini alizomewa sana kwa tukio hilo.
Ni jambo la aibu Sana kwa Kiongozi huyu kuzomewa, ni fedheha kubwa Sana, ni dharau mbaya Sana Wakenya walioionyesha kwa Mheshimiwa Lowassa.
Je? kuna kosa alilofanya Mheshimiwa Lowassa mpaka kupata madhira haya?
Tujadili kwa mapana, ili tujue tatizo lilikua ni nini, ili lisijetokea tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo umesema wewe mchambuzi wa siasa za ndaniCCM ni mazuzu haswa
Ifike sehemu uone aibu kuleta upuuzi hapaHilo umesema wewe mchambuzi wa siasa za ndani
Na ikama wewe si mbaguzi basi pia ungejiuliza pia kwa nini huku chama twawala kina uunga mkono upinzani kenya tena kuanza mwenye kiti wa chamaHivi hii imekaaje ya upinzani kuunga mkono chama tawala nchi jirani sio kwamba huwa wana umoja wao Wa upinzani ambapo huwa wana peana support??
Si kweli.Uhuru Kenyatta alimwalika Lowassa kwenye kampeni zake za Urais nchini Kenya.
Lowassa alisimama na kumuombea Uhuru Kenyatta kura, lakini alizomewa sana kwa tukio hilo.
Ni jambo la aibu Sana kwa Kiongozi huyu kuzomewa, ni fedheha kubwa Sana, ni dharau mbaya Sana Wakenya walioionyesha kwa Mheshimiwa Lowassa.
Je? kuna kosa alilofanya Mheshimiwa Lowassa mpaka kupata madhira haya?
Tujadili kwa mapana, ili tujue tatizo lilikua ni nini, ili lisijetokea tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa nani kaleta upuuzi ni mimi au aliyeanzisha uzi?Ifike sehemu uone aibu kuleta upuuzi hapa